Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo la jamaa huyo anadhani kiswahili kilianza. Yaani mfano Kama wimbo fulani unaanza kuimbwa na mtu fulani au jamii fulani.

Mimi nilimweleza tangu juzi, kiswahili Kiliibuka (emerged), hakikuanza (started).

Nilimuuliza kama kilianza inabidi atuambie ni nani aliyekianzisha.

Lugha huwa haianzi, lugha inaibuka

Na mpaka sasa kiswahili bado kinakua. Inazaliwa misamiati mbalimbali na baadae kuwa maneno ya kawaida kabisa.
Ni sawa na kituruki kimepitia stage kama tatu.
Ila mwanzo hakikua kikiitwa kituruki.
Walianza kutumia kiarabu kama kiarabu baadae wakakibadili kuja katika misamiati ya kiajemi na sasa hivi kimechanganyika misamiati ya kiajemi na kigiriki.
Uko sahihi mkuu lugha huibuka ama kuzaliwa sio kuanzishwa.
Na lugha haiwezi kuibuka pasi na maendeleo ya mji na muingiliano mkubwa wa watu.
 
Huko kwao radio na Tv habari ni za Wasafi, Zuchu, Dayamondi, Yanga na Simba. Wakitaka real news lazima waangalie station za Kenya.
Real news kuna UTV.
Pia kuna BBC swahili Startv.
Hivyo hizo station za kenya ziliwekwa kibiashara ili kufikia wateja wote.
 
TANZANIA ASS OF GOD, MAFINGA 🤣 🤣 🤣 🤣

Image
Hiyo ASS imekusudiwa kuwa ASSEMBLIES.
Wamekusudia kufupisha ila wewe ukamaanisha vibaya.
 
Bongoslum wanafunzi wa form one hawajui basic English. 😱😱🤣🤣 Kama munajivunia Kiswahili sana, mbona hamfunzwi Engineering, Medicine, Coding, Law etc kwa Kiswahili. Munajivunia Kiswahili wakati wa kubishana kati ya Simba na Yanga gani kali. 🤣🤣🤣


View: https://x.com/KenyanSays/status/1825825611392131524

Hatushabikii Kiingereza ila mambo yanaenda na madaktari na wahandisi tunao wazuri kuliko hata Kenya.
Ndio maana huoni majengo Tanzania yakianguka kama Kenya.
Tuna technicians wazuri kila idara ila hawatumii kiingereza na wanafanya kazi kwa kiswahili na wanapatia.
 
Bongoslum wanafunzi wa form one hawajui basic English. 😱😱🤣🤣 Kama munajivunia Kiswahili sana, mbona hamfunzwi Engineering, Medicine, Coding, Law etc kwa Kiswahili. Munajivunia Kiswahili wakati wa kubishana kati ya Simba na Yanga gani kali. 🤣🤣🤣


View: https://x.com/KenyanSays/status/1825825611392131524

Last time I checked wanafunzi wa University huko china hawajui English. Na nilishangaa sana huko kenya hawajui Kiswahili 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Last time I checked wanafunzi wa University huko china hawajui English. Na nilishangaa sana huko kenya hawajui Kiswahili 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
University za bongo munafunzwa kwa Kiswahili? 🤣 🤣 🤣 Jana si umekazana kutype hapa basics of accounting kwa kiingereza.
 
University za bongo munafunzwa kwa Kiswahili? 🤣 🤣 🤣 Jana si umekazana kutype hapa basics of accounting kwa kiingereza.
Kiingereza cha Tanzania ni cha kujibia mtihani tu.
Hata huko chuo mwalimu hutoa maelezo kwa tafasiri ya kiswahili.
Umeona hiyo definition alotoa bro!?
TZ lecturer anaitafasiri na kuieleza kwa kiswahili na anafundisha kwa kiswahili mwanzo mwenga.
English ni ya kujibia pepa tu basi.
 
Hatushabikii Kiingereza ila mambo yanaenda na madaktari na wahandisi tunao wazuri kuliko hata Kenya.
Ndio maana huoni majengo Tanzania yakianguka kama Kenya.
Tuna technicians wazuri kila idara ila hawatumii kiingereza na wanafanya kazi kwa kiswahili na wanapatia.
Kama form one hajui basic English, na huyo ndio anafaa kua graduate in a few years. 🤣 🤣 🤣 Uswazi hamna maghorofa, pengine zile vyoo na bafu bila paa ndio zinaweza anguka.
 
Ni sawa na kituruki kimepitia stage kama tatu.
Ila mwanzo hakikua kikiitwa kituruki.
Walianza kutumia kiarabu kama kiarabu baadae wakakibadili kuja katika misamiati ya kiajemi na sasa hivi kimechanganyika misamiati ya kiajemi na kigiriki.
Uko sahihi mkuu lugha huibuka ama kuzaliwa sio kuanzishwa.
Na lugha haiwezi kuibuka pasi na maendeleo ya mji na muingiliano mkubwa wa watu.
Lugha zote kaka. Hata kingereza tunachokizungumza leo kilianzia na Anglo-Saxon baada kikaja kuchangiwa na Norse wakati wa Viking invasions baadae kikaja kuchagizwa na Romance languages kama vile kilatini.
Na vilevile kigriki nacho kilikuwa na mchango mkubwa sana katika kukuza kingereza.
 
Lugha zote kaka. Hata kingereza tunachokizungumza leo kilianzia na Anglo-Saxon baada kikaja kuchangiwa na Norse wakati wa Viking invasions baadae kikaja kuchagizwa na Romance languages kama vile kilatini.
Na vilevile kigriki nacho kilikuwa na mchango mkubwa sana katika kukuza kingereza.
Lugha ambazo zina mizizi migumu ni semitic languages peke yake.
Ambazo hata utohoaji wake ni wa uchache,
kama vile Kiarabu,kiajemi,kiyahudi,kiamhara/kihabesha.
 
Ni cha Waswahili ambao walianzia Kenya wakasambaa Hadi Bongolala, Mozambique na Somalia na Comoros.
😂😂😂😂

Look at you, eti walianzia Kenya.
What we should say about Kilwa?

Why the hell hamuongei kiswahili fasaha?

It's like claiming English ilianzia kwenu while British wanaongea kiingereza fasaha.

If am correct nyie ndio mnatudiss about Swahili mara ni lugha ya waarabu leo ni cha Waswahili wa Kenya.

Kenya yenye broken swahili iwe origin like seriously?
 
Kiingereza cha Tanzania ni cha kujibia mtihani tu.
Hata huko chuo mwalimu hutoa maelezo kwa tafasiri ya kiswahili.
Umeona hiyo definition alotoa bro!?
TZ lecturer anaitafasiri na kuieleza kwa kiswahili na anafundisha kwa kiswahili mwanzo mwenga.
English ni ya kujibia pepa tu basi.
Hawa nyang'au bado wanaona Kiingereza ni lugha ya kikenya. Bado wako gizani😎😎
 
Ni kweli kaka, japo Kiarabu nacho kilichangiwa na lugha kadha pia kama Hebrew and Aramaic
Hizo zimeongezea misamiati tu kulingana na muingiliano.
Ila hebrew na arab ni lugha zilizokua pamoja,ndio maana zinaitwa semitic.
 
Back
Top Bottom