Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,716
- 107,163
Nyie mmefunga?Nilidharau Tanzania pale walipo ignore hii issue. Consulate ya Palestine ingefungwa
Nyie mmefunga?Nilidharau Tanzania pale walipo ignore hii issue. Consulate ya Palestine ingefungwa
Joshua Mollel ni mkenya ??Nyie mmefunga?
Sasa mtihani mnafanya vipi Kama kiingereza kina wachengaTunarudia kusema english sio lugha yetu so usitulazmishe kukijua, china wanaongea lugha yao, russia wanaongea lugha yao, india wanaongea lugha yao, etc nyinyi lugha yenu ni ipi??😂😂😂😂
Hawawezi bro hii train Sio kenya tu hata africa nzima imeshtuka, viwango vya europe kabisa hizi nilikutana na mmoja katika watu wa TRC unaniambia hii reli una system ambayo train ikipita inajua kitu gani kibovu au hakiko sawa alaf inatoa taarifa kua kifaa fulani kwenye train kina hitilafu, alaf kingine akaniambia train ina system ambazo dereva akikimbia sana akipewa alert na control tower asiposikia, basi control tower anaweza kupunguza speed ya train moja kwa moja au kusimamisha kabisa train, alaf akanambia signal zilizofungwa ni more advanced Sana etcThey are trying kwa nguvu sana kupambana na sisi huku wakitumiwa na mabwana zao kutoka ulaya lakini wapi.
Kingereza ni somo kama masomo mengine, haha ukienda saud arabia au china english ni somo kama mathematics au history, so tunasoma English kama somo lakini sio mother tongue yetu, haya nambie wewe lugha yenu ni ipi???😂😂😂😂Sasa mtihani mnafanya vipi Kama kiingereza kina wachenga
Primary school wanafanya mtihani kwa kiswahili. English as a language of instruction starts from secondary school.Sasa mtihani mnafanya vipi Kama kiingereza kina wachenga
Kabla ya mwaka huu haujaisha lot 7 Uvinza-Mudongati-Gitega inapewa mkandarasi! Tunaacha wakunya na midomo yao mikubwa humu!Hivi kumbe tabora kigoma tayari washaanza duuu niko nyuma sana
Hizi mali zetu zimeshakua za East Africa!🤣🤣🤣Kwenye kitu cha Tanzania hua lazma watumie east Africa lakini ingekua ya Kenya wangetumia Kenya mbwa hawa 😂😂😂😂
View attachment 3073888
El mereikh hana ligi anayocheza mkuu mwaka wa 3 huu 🤣🤣🤣Huyu El merreikh msimu wa jana Yanga alimbatua nje ndani.
Nyumbani 2-0 na ugenini 1-0.
Halafu eti ndio wanataka wakutane na Yanga aisee😁😁😂😂😂😂.
Nasikia wanatembea na Mbolea kama kaka zao.Ila kitu napenda kwa mademu wakenya hawaringi Yani unabeba unaondoka hawajui kukataa Hasa ukiwa foreigner ila shida ni moja Tu hawajui kuoga 😂😂😂😂😂😂😂😂
Shida ni kuoga Tu Kaka na hvi maji hakuna ndio kabisa kuna hotel moja nililala Kisumu hakuna maji ni toilet paper Tu Kwan nilikaa kaka, niliondoka siku hiohio 😂😂😂😂😂😂Nasikia wanatembea na Mbolea kama kaka zao.