Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,705
- 107,150
Ndege wamepewa bure na serikaliGeza Ulole ichoboy01 wapi profits za ATCL?😂
Huyo Tangu azaliwe hajaiona ATCL ikitengeneza faida😂😂🤣😂Okay sawa basi KQ imepata hasara Kama atcl are you happy now 😂😂
How do you expect them to make profit when they carry 800k passengers in a year 😂😂🤣😂Ndege wamepewa bure na serikali
Parking hawalipi wamepewa waiver
Bill ya mafuta inapelekwa ikulu
Hasara tangia 1970 😂😂😂
Hamna middle class, LDC type shit 😂How do you expect them to make profit when they carry 800k passengers in a year 😂😂🤣😂
Wakenya tusaidieni. Sgr yetu watu wanapanda bure hukuWe don’t produce fake buses😂🤣😂
Vya kwetu tunavijua na tunazisema hadharani kwamba ni made in Kenya mwambie asitubandikie makopo ya mchinku 😂😂😂We don’t produce fake buses😂🤣😂
Hizo habari tunazo, ni bora CCM imkabidhi bakhressa tu manke hizi ni aibu 😂Wakenya tusaidieni. Sgr yetu watu wanapanda bure huku
Tz ya vi wonder
Wakenya ndio wamiliki wa hizi accounts.South Africa ya kwanza halafu kwenye bandiko wanaweka picha ya Ngorongoro crater? Ndo yale yale ya Mandela kutambulika kama mkombozi wa Afrika.
Na wewe umetokea wapi?Wakenya tusaidieni. Sgr yetu watu wanapanda bure huku
Tz ya vi wonder
Sikumbuki kama ya pili ilishakuja, Dreamliner zililkosa parts za heat exchanger baada ya Urusi kupigwa sanction. Na hii 787 na ile ya mizigo ni za Magu, hivyo utaona ziliadhirika na vita. Max ni za Samia.Hi ni yapili au yatatu mbona sielew