Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Is this the first time serikali kubeba loan ya KQ? How many times has government taken over KQ loans lakini bado KQ inamake losses? Ama ni vile leo wametengeneza faida inakuuma zaidi?😂😂🤣😂
Link hii hapa usije sema nime edit 😂😂😂😂

 
Kwamba baada ya ruto kutoa loan kwenye kq books ndio ipate faida au🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ruto wewe unaaakili Sana budaa

View attachment 3074712
It’s not the first time serikali kulipa loan ya KQ yet KQ usually makes losses😂😂🤣😂👇👇

IMG_0493.png
 
It’s not the first time serikali kulipa loan ya KQ yet KQ usually makes losses😂😂🤣😂👇👇

View attachment 3074716
What ever lakini serekali imetoa 82.7b ksh loan from kq books, ndio itengeze faida so taking loan from halima to pay John 😂😂😂

Ruto anaakili Sana akaona safari hii akipost loss mambo itachemka Sana huku Tanzania dreamliner inatua akaona afanye ujanja mapema


Ruto salute nigga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

IMG-20240820-WA0000.jpg
 
What ever lakini serekali imetoa 82.7b ksh loan from kq books, ndio itengeze faida so taking loan from halima to pay John 😂😂😂

Ruto anaakili Sana akaona safari hii akipost loss mambo itachemka Sana huku Tanzania dreamliner inatua akaona afanye ujanja mapema


Ruto salute nigga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

View attachment 3074719
Mbona hii mwaka KQ haikutengeneza faida? Ama unajaribu kujifurahisha?😂😂🤣😂

IMG_0493.png
 
Ndio mara ya kwanza serikali kulipa loan ya KQ? Ama ni vile KQ imetengeneza faida😂😂🤣😂.

View attachment 3074718
Rudi kwenye Mada Kwanza 😂😂😂👇👇👇

So serekali imetoa loan zote za kq kwenye books za kq ili ipate faida is that fine 😂😂

Ruto hataki kuskia loss kwa SASA kwavile mambo inazidi kuchemka

So tunakiri ruto anaakili Sana is that true??

IMG-20240820-WA0000.jpg
 
Rudi kwenye Mada Kwanza 😂😂😂👇👇👇

So serekali imetoa loan zote za kq kwenye books za kq ili ipate faida is that fine 😂😂

Ruto hataki kuskia loss kwa SASA kwavile mambo unazidi kuchemka

So tunakiri ruto anaakili Sana is that true??

View attachment 3074720
Mada ndio hii. Why didn’t KQ make profit during all these days when the government was paying their debts? Ama ni vile leo imetengeneza faida?😂😂🤣😂

IMG_0493.png
 
Mada ndio hii. Why didn’t KQ make profit during all these days when the government was paying their debts? Ama ni vile leo imetengeneza faida?😂😂🤣😂

View attachment 3074722
Rudi kwenye Mada kwa SASA 😂😂👇👇👇

So tunakiri wote kua ruto anaakili Sana


Hamuwezi mpindua hvihvi ruto 😂😂😂😂

IMG-20240820-WA0000.jpg
 
Rudi kwenye Mada Kwanza 😂😂😂👇👇👇

So serekali imetoa loan zote za kq kwenye books za kq ili ipate faida is that fine 😂😂

Ruto hataki kuskia loss kwa SASA kwavile mambo inazidi kuchemka

So tunakiri ruto anaakili Sana is that true??

View attachment 3074720
Punguza upumbavu wewe, tangu KQ ianze kumake losses, government imekua ikitumia pesa kuwabailout lakini bado shirika ilikua ikipata hasara, mbona this time baada ya kutengeneza profit ndio unapayuka kama kunguru anayetaka kutaga. 🤣 🤣 🤣
 
ATCL ikinunuliwa ndege na hazina ya kitaifa ni swa lakini GoK ikilipa Deni ambalo watalipwa kupitia shares sio swa 😂😂😂😂
 
Punguza upumbavu wewe, tangu KQ ianze kumake losses, government imekua ikitumia pesa kuwabailout lakini bado shirika ilikua ikipata hasara, mbona this time baada ya kutengeneza profit ndio unapayuka kama kunguru anayetaka kutaga. 🤣 🤣 🤣
Hvi nyinyi munamuona ruto mjinga Sana sindio 😂😂😂😂😂😂😂

Kwann hii habari imewauma Sana Yani ruto ni smart Sana kaona safari hii ikisoma loss amekwisha akaona abebe loan yote kwenye kq books aoneshe kapata faida ili mushangilie tena

IMG-20240820-WA0000.jpg
 
ATCL ikinunuliwa ndege na hazina ya kitaifa ni swa lakini GoK ikilipa Deni sio swa 😂😂😂😂
So wote tukiri kua ruto ni smart 😂😂😂😂😂

So kaona atoe loan zote za kq kwenye books za kq aweke kwa mfuko yake ili aoneshe kapata faida kwa vile munamuona ruto mjinga Sana 😂😂😂😂😂😂😂

Nimecheka Sana Sana

IMG-20240820-WA0000.jpg
 
So wote tukiri kua ruto ni smart 😂😂😂😂😂

So kaona atoe loan zote za kq kwenye books za kq aweke kwa mfuko yake ili aoneshe kapata faida kwa vile munamuona ruto mjinga Sana 😂😂😂😂😂😂😂

Nimecheka Sana Sana

View attachment 3074734
Shida yako wewe hua una hasira kuliko wote, cheki wenzako walivyotulia manake wamesoma na wanaelewa hizi biashara 😂😂
 
Hvi nyinyi munamuona ruto mjinga Sana sindio 😂😂😂😂😂😂😂

Kwann hii habari imewauma Sana Yani ruto ni smart Sana kaona safari hii ikisoma loss amekwisha akaona abebe loan yote kwenye kq books aoneshe kapata faida ili mushangilie tena

View attachment 3074733
Why can’t ATCL make profit then?😂😂🤣👇👇

IMG_0494.png
 
Back
Top Bottom