Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shida ni kuoga Tu Kaka na hvi maji hakuna ndio kabisa kuna hotel moja nililala Kisumu hakuna maji ni toilet paper Tu Kwan nilikaa kaka, niliondoka siku hiohio πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 Kaka inamaana mbolea inasambazwa kwa toileti paper.
 
Tuko tayar kuunga Uganda mkono lakini sio hawa maumbwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1825445576411853289?t=Py4tZ7Ni2zRj1XCbLLa1SA&s=19

Haya Mabasi hata sura zinaonyesha ni Bus, Sio yale ya Wakundustan mpaka mtu asisitizie na kukoleza wino, Hili ni Bus πŸ˜‚ La sivyo halijulikani ni dude gani.
Imagine hili ni gari πŸ˜‚

IMG_3280.jpeg
 
Haya Mabasi hata sura zinaonyesha ni Bus, Sio yale ya Wakundustan mpaka mtu asisitizie na kukoleza wino, Hili ni Bus πŸ˜‚ La sivyo halijulikani ni dude gani.
Imagine hili ni gari πŸ˜‚

View attachment 3074039
Sibora nipande punda kuliko hii tetenusπŸ˜‚πŸ˜‚

Hii ukipata ajali nayo kaka inakuchinja kama kuku
 
Wengi wao unakuta nyasi zimeota kwa wingi, vichaka vya kila aina πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Just imagine. Njia imejaa nyasi, ni muhimu mno kuvaa viatu ukiwa unapita njia hiyo, maana unaweza ukakanyaga vitu vya ajabu na ukapata hookworm infection 🀣🀣🀣🀣 Baadae ukapata safura
 
Did Tanzania government issue any statement about this brutality?
Hayakuhusu, nyie mbina mahouse girl wenu wakiuwawa huko arabuni hatuwaulizi, shenzi!!!

Besides, tunajua kwamba waliomuuani ni waisraeli wenyewe. Wapaleatina wanatujua vizuri na ukarimu tunaofanyia mpaka leo. Nchi ya kwanza Africa kuweka ubalozi wao, kuwawapa fursa ya kuwafanya kazi hapa....mpaka kuna hospitali ya palestina. Usiwe mjinga wewe.

Sisi sio level yenu.
 
Nilidharau Tanzania pale walipo ignore hii issue. Consulate ya Palestine ingefungwa
Hujui diplomasia wewe.
We unaona kabisa hizo nyakati za vurugu pia Gaza inaongozwa na Hamas ila consulate Palestina ni ya Westbank inayoongozwa na PLO.
Usidandie tu vitu kwa mbele wewe.
 
Hayakuhusu, nyie mbina mahouse girl wenu wakiuwawa huko arabuni hatuwaulizi, shenzi!!!

Besides, tunajua kwamba waliomuuani ni waisraeli wenyewe. Wapaleatina wanatujua vizuri na ukarimu tunaofanyia mpaka leo. Nchi ya kwanza Africa kuweka ubalozi wao, kuwawapa fursa ya kuwafanya kazi hapa....mpaka kuna hospitali ya palestina. Usiwe mjinga wewe.

Sisi sio level yenu.
Hawajielewi hawa.
Hata kama ingekua aliyeua ni Hamas kumbuka hapo kuna mambo matatu;
1)Hizo ni nyakati za vurugu hivyo hakuna mwenye utimamu,Israel yenyewe ilimlipua msaidizi wa balozi ya Ufaransa pale Gaza,pia kuna raia wengi wa USA na France wameuawa.
2)Hamas wanawakilisha Gaza sio Palestina kuu,Palestina kuu inawakilishwa na PLO kule Ramallah Occupied westbank.
Hivyo kwa hali hii ni kukata pua na kuunga wajihi.
Shida wakenya kila kitu wanachukulia ni violence.
 
Thank you for this post. It demonstrates that we have our own solid identity and we are not craving to be identified by some other culture or people.
Kiswahili started on the Kenyan coast and its not an indigenous African language
 
Back
Top Bottom