Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu Balozi wa Japan hapa Tanzania 🇹🇿. Hatujamlazimisha akande kaka jirani anayolazimisha watumie saa 8 mpaka Mombasa kisa kaweka makochi mapya 🤣🤣


View: https://x.com/JapanAmb_TZ/status/1824699075331068196?t=nKK5HPG_iYJNjU8ARoaXGg&s=19

Huyu Balozi wa Japan na yule wa Marekani alieyeondoka wanapenda kujiachia sana, Mwingine wa Denmark nakutana nae maeneo ya coco beach na mbwa wake😂 . Na balozi mwingine anayejiachia hadi mwanane anazurura ovyo mtaani na Baiskeli ni Balozi wa Iran😂😂😂. He doesnt give a rat Ass😂

BTW
Balozi wa Japan anawakumbusha wakundustan quality ya rail yetu, Rails steel from NIPPON STEEL ( first world) Trains from Hyundai Roterm ( inasomeka “Handei”😂 pia wa mbele , wakundustan msilete hiyo ugly accent 😂 nyie ni wa matopeni tu kunduni huko 😂
 
View attachment 3072099

Kwa sura hizi za magari hakuna kitu kinavuka 1997 hapa. 😂😂😂😂😂 ila bado mkundustan anadai magari yao 0 kilometer 😂😂 .
View attachment 3072099

Kwa sura hizi za magari hakuna kitu kinavuka 1997 hapa. 😂😂😂😂😂 ila bado mkundustan anadai magari yao 0 kilometer 😂😂 .
If that's the case then what will we say about these ones?
images - 2024-08-17T173642.852.jpeg
images - 2024-08-17T173611.959.jpeg
images - 2024-08-17T173433.834.jpeg

Mnapenda kujipa matumaini sana
 
Leta tuone bongolala. Unafikiri Nairobi pia ni jiji la kishamba kama hiyo yenu ilijazwa uswazi kila Kona na mpangilio wa kihovyo?

This is an organized city, not some glorified fishing village I knowView attachment 3072661View attachment 3072662View attachment 3072665View attachment 3072669View attachment 3072670View attachment 3072671View attachment 3072673View attachment 3072684View attachment 3072667
Mzee hizi ni silaha za kupambana na Cairo na Johannesburg na sio kijiji cha dar slum
 
Back
Top Bottom