Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Halafu usijifanye kama vle ni mtu safi sana, ungekua haupo disperate usingekuwepo hpa kweny huu uzi.
Hivyo ni kusema wote tuliopo kwenye huu Uzi ni desperate, you included. Is that your point?
 
Jua kali facility 🤣🤣🤣🤣
Juakali Facilities hadi wadanganyika wanatamani

Screenshot_20240818-081746_X.jpg



View: https://x.com/AbroadTanzania/status/1824763931010986452?t=UH8_SS54Y1E2mmoKuUAuOA&s=19
 
Picha za Ambassador wa Japan, hakuna paved road wala public transport ni mwendo wa vumbi juu ya boda boda. 200km from dar slum 😂
IMG_20240818_083659.jpg
 
Wengi wao hapa wanatumia maneno ya kejeli na dharau Kwa projects kama hizi kutoka Kenya lakini deep down wanatamani sana na kujiuliza where the rains started beating them. Denial itawaua.

Na wangejua that is just Kisii town Wala sio Nairobi au Mombasa😂😂
Yani hapo OP andhania ni Nairobi laiti angejua ni kisii hasira zingepanda zaidi 😂
 
Acha kukurupuka. Kasema Morogoro sio Dodoma.
Kuna kakipande kutoka Main road ndo kako unpaved sio kwamba kuna 10km...

Uko unatafuta faraja. Endeleeni na gari moshi zenu hizo
Morogoro sio Tanzania?? The fact hapo ni Moro makes it worse kabisa sababu its closer to dar slum than Dom. Mwenzenu ameingia migori Jana kila mahali ni carpet alafu tukiiwaita vumbi nation mnanuna
 
Back
Top Bottom