Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkenya akiri hakuna slums Tanzania asema masikini wa Tanzania anaishi vizuri kuliko middle class wa Kunyaland asema nyumba zote Tanzania ni za matajiri Kunyaland πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wakenya wachanganyikiwa na Tanzania mmoja anasema anataka kuhamia Tanzania mwingine anasema kipindi wamekuja na wazazi wake wali tafuta mpaka shule wahamie Tanzania,


View: https://youtu.be/DFSmUvVFedE?si=l6VuYMzDN_wFNIff
 
Nairobi towers over 30 floors.
1. 88 Condominium - 48 floors
2. GTC Office Tower - 43 floors
3. 1870 West Tower 1 - 37 floors
4. 1870 West Tower 2 - 37 floors
5. GTC Hotel Tower - 35 floors
6. Prism Tower 34 floors
7. UAP Tower - 33 floors
8. Times Tower - 33 floors
9. GTC Residence 1 - 33 floors
10. Altura Tower - 33 floors
11. KICC - 32 floors
12. GTC Residence 2 - 31 floors
13. GTC Residence 3 - 31 floors
14. Grosvenor Residences - 30 floor
15. Grosvenor Residences 2 - 30 floors
16. Le Mirage - 30 floors
17. CBK Pension Tower - 30 floors

Hehe, kuna wakati walikuwa wanajishaua eti wako na more towers over 30 floors than Nairobi.
Upumbavu wa kale huu, tushatoka huko kwenye mambo ya kipumbavu.
 
View attachment 3069454
Hao Wazungu I met them a day before ya hii mechi, wakaniambia wana mpango wa kwenda kuangalia hii mechi, wametoka Italy 2 weeks ago na tayari wameishasikia ubora wa derby ya Kariakoo. Sasa walienda kama ordinary fans tu, kufika ground jersey zikawatia ndimu, wakapagawa……wakapiga uzi wa Wananchi, kesho yake wanajikuta kwenye pages za Yanga na magazeti, wakatuma kwao kwa rafiki zao, wakabaki wanashangaa hii vibe ya soccer inapatikana Afrika? Na wengine wakasema next time wanakuja na wao, na hivi ndivyo ligi yetu inaenda duniani kama utani, sasa wewe endelea kubinya mapumbu ukidhani itakusaidia.
Hata mimi niliongea nao wakaniambia walienda tu kuona how backward Tanzania is. By the way tutajuaje uliongea nao wakakuambia vile unasema cause anybody can guess anything and say them hereπŸ˜‚πŸ˜‚
 
View attachment 3069454
Hao Wazungu I met them a day before ya hii mechi, wakaniambia wana mpango wa kwenda kuangalia hii mechi, wametoka Italy 2 weeks ago na tayari wameishasikia ubora wa derby ya Kariakoo. Sasa walienda kama ordinary fans tu, kufika ground jersey zikawatia ndimu, wakapagawa……wakapiga uzi wa Wananchi, kesho yake wanajikuta kwenye pages za Yanga na magazeti, wakatuma kwao kwa rafiki zao, wakabaki wanashangaa hii vibe ya soccer inapatikana Afrika? Na wengine wakasema next time wanakuja na wao, na hivi ndivyo ligi yetu inaenda duniani kama utani, sasa wewe endelea kubinya mapumbu ukidhani itakusaidia.
Hii yote kwasababu wana uhakika na usalama wao. Kuna nchi hawawezi kuthubutu kufanya hivi maanake wasipoibiwa watarushiwa vinyesi.
 
Hata mimi niliongea nao wakaniambia walienda tu kuona how backward Tanzania is. By the way tutajuaje uliongea nao wakakuambia vile unasema cause anybody can guess anything and say them hereπŸ˜‚πŸ˜‚
Endelea kujifurahisha tu hakuna anayekukataza.
 
No wonder watu wanaopt kulala chini……nimesafiri na SGR usiku sijaona a single person hata anataka kulala zaidi ya a little nap kwenye seat, sasa hao jamaa zetu safari ya masaa 4 behewa zima limechoka mbaya mpaka watu wanalala sakafuni tells a lot about how discomfort that train is……..yaani unalala chini mahala ambapo kila mtu anakanyaga kwa safari ya masaa 4 tu? Aisee hii ni ngijangija kweliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwanza nginjanginja lina operate on a jointed rail hence makelele na kurukaruka pili seat za ubao tatu hajuna air conditioning system nne hakuna entertainment facilities kama video screens tano hakuna WiFi sita very sluggish take long hours for a small distance the list is endless 😁
 
Kwanza nginjanginja lina operate on a jointed rail hence makelele na kurukaruka pili seat za ubao tatu hajuna air conditioning system nne hakuna entertainment facilities kama video screens tano hakuna WiFi sita very sluggish take long hours for a small distance the list is endless 😁
Nyang'au Teargas anajifanya kuchukia ukimuambia hivyo, ha ha ha😎😎
 
Hakuna cha kukosa ticket yet there are empty seats all overπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£. Sema tu hukuwa na uwezo wa Foyal classπŸ˜‚πŸ˜‚
Hapo ndio tumeingia kwenye train bado watu Wanaingia wengine wako kwenye ticket check chizi wwπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Unaumia Sana na mm ndio furaha yangu
 
Back
Top Bottom