Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Good night wakuu ngoja nilale kesho asubuhi kazini, hawa ma jobless wa kikenya tuwaache wajiliwaze na ugumu wa maisha yao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe fanya kazi hako ya watchman pole pole. Ati kulala, maybe ulale kwa nyasi😂😂🤣
 
Naomba uweke picha yangu tena alafu weka na yako chini ili watu wa comment nani mzee kati ya mm na wewe tafadhali 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hizi kucha zako ni za 50 yrs old man😂😂🤣🤣👇👇

1723756884225.jpeg
 
Wewe fanya kazi hako ya watchman pole pole. Ati kulala, maybe ulale kwa nyasi😂😂🤣
Mm ndio kichefuchefu wenu, nmerudi sasa, kesho tegemea kuona buti la SGR likiwa humu ndani, good night 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mm ndiyo The best 007, nawahakikishia baadae asubuhi sitowaangusha ndugu zangu watanzania, nitapiga hawa mbwa mpaka wataomba poo, wacha niendelee kulala kwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyo ni yule aliyeanza kazi,pia huyo ni daktari wa degree MD.
Ila wa elimu zaidi wana mshahara tofauti pia.
Mie ni C.O tu.
Halafu hawa Zoom Afrika ni waongo,Sychelles wanalipa mishahara mikubwa sana kuliko hiyo iliyotajwa hapo.
Si Kuna siku umekana humu kwamba uliacha kazi ya C.O sahii wewe ni mwanabiashara wa kuuza cocoa na ng'ombe? Uongo ni kazi ngumu.🤣🤣🤣
 
Nifate direct, mbn unaniogopa? Au nipost picha yako na baba ako vile mmeparara 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tofauti ni kwamba, yeye anaongelea picha yako ya ukweli uliyopost mwenyewe, wewe umeokota picha mtandaoni unalazimisha awe yeye licha ya yeye kupost picha yake ya ukweli humu juzi. Inamaana kwamba uko desperate mfanane na kwa ndani unajua huwezi mfikia.
 
Back
Top Bottom