Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si Kuna siku umekana humu kwamba uliacha kazi ya C.O sahii wewe ni mwanabiashara wa kuuza cocoa na ng'ombe? Uongo ni kazi ngumu.🤣🤣🤣
Bro mbona kama hauna akili!?
Hata nikisema nimeacha kazi,je itabadilisha kama mimi nimesomea clinical medicine!??
Leo hii nikiambiwa nilete vyeti vyangu cheti cha kwanza nitakacholeta ni cha CMT.
Acha kukaza fuvu.
 
Good Morning Wangwana😂🤣

1723784385028.jpeg

1723784412985.jpeg
 
So in short your a Certificate Holder? Cause C.Os are not Degree Holders.
Certificate holder ni C.A /Clinical assistant.Mimi ni ordinary diploma holder.
Kama ningekua serious ningekua nimehitimu degree ila mwaka wa pili kuingia watatu nili postpone baada ya kuona mambo mengi.
 
Tofauti ni kwamba, yeye anaongelea picha yako ya ukweli uliyopost mwenyewe, wewe umeokota picha mtandaoni unalazimisha awe yeye licha ya yeye kupost picha yake ya ukweli humu juzi. Inamaana kwamba uko desperate mfanane na kwa ndani unajua huwezi mfikia.
Unamuongelea wewe kama nani, je, ananiogopa? Wewe picha yako iko wapi mnuka makwapa, na bila shaka sura yako ishanijia kichwani vile upo. Mm picha yangu ipo clear inajieleza ni mtu wa aina gn, wewe mnuka makwapa weka picha yako tukuone kwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unamuongelea wewe kama nani, je, ananiogopa? Wewe picha yako iko wapi mnuka makwapa, na bila shaka sura yako ishanijia kichwani vile upo. Mm picha yangu ipo clear inajieleza ni mtu wa aina gn, wewe mnuka makwapa weka picha yako tukuone kwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe ni watchman mzee wa 50yrs. Hiyo ndio kitu pekee your half picture potrays😂🤣
 
Uko sure huoni tatzo kweny zile picha? Huoni tatzo kwa ndug yako?😂😂
Sio kwa ndugu yake tu, yeye mwenyewe kaparara mbaya, muone alivyopauka na buti lake la SGR 👇👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20240815-124316~2.png

Humu ndani tuna debate na watu ambao kama maisha yao yangekuwa hadharani haki ya mama kuna watu hata tusingethubutu kuwajibu.
 
Embu onyesha hzo spot kwanza tuone unazungumzia nn😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hako kachokoraa kana wivu mnooo, kuna siku kaliokota picha mtandaoni kakajifanya eti ndiyo kapo bongo kanawagonga mademu wa Arusha, yn picha ya mwamba mwingine mbongo yupo na mala.ya basi kenyewe kakajifanya ndio kanapiga, tukakadaka bhn 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Sio kwa ndugu yake tu, yeye mwenyewe kaparara mbaya, muone alivyopauka na buti lake la SGR 👇👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3071395
Humu ndani tuna debate na watu ambao kama maisha yao yangekuwa hadharani haki ya mama kuna watu hata tusingethubutu kuwajibu.
Ndo nlikua namuulza hyo mzee wa US & A (in borrat voice🤣)
 
Wewe ni watchman mzee wa 50yrs. Hiyo ndio kitu pekee your half picture potrays😂🤣
Nilikupa home work, weka picha yangu na yako zen uliza watu mtaani kwenu kati ya picha hizi mbili nani mzee, ukipata jibu kaa nalo wala usijali 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom