Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,917
- 103,782
Watapasuka msamba😎Wanaiga bongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani Bongolalas ndio walianza kurelease football kits? Mbona unaleta fikra za watchman kwa vitu serious?😂😂🤣Wanaiga bongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kama kawaida yao, mafundi ni Wakenya 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kwani Bongolalas ndio walianza kurelease football kits? Mbona unaleta fikra za watchman kwa vitu serious?😂😂🤣
Kenya has been releasing sport kits for prices higher than hizo za Tz na watu hawalii kama huko kwenu😂😂🤣
View: https://x.com/OlympicsKe/status/1823330232910119242
Jua kali ni zile takataka za Simba na Yanga😂😂Mnafanya kijuakali sn aisee
Hiyo picha ya kwanza ni Tanzania?😂😂🤣Kama kawaida yao, mafundi ni Wakenya 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
View attachment 3069143View attachment 3069144View attachment 3069145
Nakumbuka hiyo time 😂😂😂. During that time Nairobi only had 3 buildings which were Times Tower, UAP and Prism above 30 floors while Dar had 6 buildings above 30 floors. It was during that time ndio World Bank wakatoa hile ripoti Yao ya Real Estate value. Since then hakuna kitu wamejenga 😂😂🤣Nairobi towers over 30 floors.
1. 88 Condominium - 48 floors
2. GTC Office Tower - 43 floors
3. 1870 West Tower 1 - 37 floors
4. 1870 West Tower 2 - 37 floors
5. FTC Hotel Tower - 35 floors
6. Prism Tower 34 floors
7. UAP Tower - 33 floors
8. Times Tower - 33 floors
9. GTC Residence 1 - 33 floors
10. Altura Tower - 33 floors
11. KICC - 32 floors
12. GTC Residence 2 - 31 floors
13. GTC Residence 3 - 31 floors
14. Grosvenor Residences - 30 floor
15. Grosvenor Residences 2 - 30 floors
16. Le Mirage - 30 floors
17. CBK Pension Tower - 30 floors
Hehe, kuna wakati walikuwa wanajishaua eti wako na more towers over 30 floors than Nairobi.
Siku hizi wamekunja mkia😂😂🤣🤣. Hapo awali walikuwa hivi😂😂🤣👇👇👇Nairobi towers over 30 floors.
1. 88 Condominium - 48 floors
2. GTC Office Tower - 43 floors
3. 1870 West Tower 1 - 37 floors
4. 1870 West Tower 2 - 37 floors
5. FTC Hotel Tower - 35 floors
6. Prism Tower 34 floors
7. UAP Tower - 33 floors
8. Times Tower - 33 floors
9. GTC Residence 1 - 33 floors
10. Altura Tower - 33 floors
11. KICC - 32 floors
12. GTC Residence 2 - 31 floors
13. GTC Residence 3 - 31 floors
14. Grosvenor Residences - 30 floor
15. Grosvenor Residences 2 - 30 floors
16. Le Mirage - 30 floors
17. CBK Pension Tower - 30 floors
Hehe, kuna wakati walikuwa wanajishaua eti wako na more towers over 30 floors than Nairobi.
Uko tayari tuhesabu???😆😆😆
Hutoboi over 30 floors trust me kama uko tayari twende kazi