Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani utasema uko ndani ya ndege alooπŸ™ŒπŸ™Œ

Go go Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ ndio maana Wanaumia Sana kaaaaaah

20240814_072423_HDR.jpg
20240814_072429_HDR.jpg
20240814_072420_HDR.jpg
 
Jua kali ni zile takataka za Simba na YangaπŸ˜‚πŸ˜‚
2000F241-D035-4D46-9070-87D81A6821A0.jpeg

Hao Wazungu I met them a day before ya hii mechi, wakaniambia wana mpango wa kwenda kuangalia hii mechi, wametoka Italy 2 weeks ago na tayari wameishasikia ubora wa derby ya Kariakoo. Sasa walienda kama ordinary fans tu, kufika ground jersey zikawatia ndimu, wakapagawa……wakapiga uzi wa Wananchi, kesho yake wanajikuta kwenye pages za Yanga na magazeti, wakatuma kwao kwa rafiki zao, wakabaki wanashangaa hii vibe ya soccer inapatikana Afrika? Na wengine wakasema next time wanakuja na wao, na hivi ndivyo ligi yetu inaenda duniani kama utani, sasa wewe endelea kubinya mapumbu ukidhani itakusaidia.
 
Halafu hizo siti ngumu sana aiseee.
Inaonesha ukizikalia ni sawa umelala benchi la mbao tupu.
No wonder watu wanaopt kulala chini……nimesafiri na SGR usiku sijaona a single person hata anataka kulala zaidi ya a little nap kwenye seat, sasa hao jamaa zetu safari ya masaa 4 behewa zima limechoka mbaya mpaka watu wanalala sakafuni tells a lot about how discomfort that train is……..yaani unalala chini mahala ambapo kila mtu anakanyaga kwa safari ya masaa 4 tu? Aisee hii ni ngijangija kweliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
No wonder watu wanaopt kulala chini……nimesafiri na SGR usiku sijaona a single person hata anataka kulala zaidi ya a little nap kwenye seat, sasa hao jamaa zetu safari ya masaa 4 behewa zima limechoka mbaya mpaka watu wanalala sakafuni tells a lot about how discomfort that train is……..yaani unalala chini mahala ambapo kila mtu anakanyaga kwa safari ya masaa 4 tu? Aisee hii ni ngijangija kweliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ni masaa manne au sita!?
 
Back
Top Bottom