ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,246
Cha ajabu Azam media group ipo Kenya lakini hizo takataka house media hazipo popote Afrika masharikiRoyal media Group is the biggest media in East Africa followed by Nation media Group then Standard Group. Azam can’t even appear in top 10 huku Kenya.
The biggest while minting losses!Royal media Group is the biggest media in East Africa followed by Nation media Group then Standard Group. Azam can’t even appear in top 10 huku Kenya.
And then they will start accusing Kenya😂😂
View: https://x.com/lifeofmshaba/status/1821795218674643362
Yeye mwenyewe ameona sense yangu na akakiri nimeeleza mada yangu vizuri japo hajakubaliana na vitu mbili tatu maanake ni mtu mwenye akili. Hapa ni mjadala wa wenye akili, wewe ndio mbumbumbu. Kaa kando wenye akili wajadiliane.Unapoteza muda mwingi ku pump sense kwenye brains za hizi kima humu. Elimu unayowapa Inaingilia sikio moja na kutokea upande wa pili akili zao haziwezi kuchakata ukweli ndio maana unaona humu ndani huwa wanabisha vitu vya hovyo kabisa.
Kariobangi Sharks reject is the new hero of Yanga😂😂😂
View: https://x.com/TeyaKevin/status/1821936681546883118
Hii ni story ya jiwe walilolikataa waashi.Maneno ya mkosaji.
Mnakumbuka niliwaambia huyu Duke watamletea maneno ndio haya.
Imagine kipindi yupo Ihefu ukiwapelekea wanasema Nobody know him ila aliitwa timu ya Taifa kutoka IHEEEEFUUUU seriously na yupo anamuita Reject.
Bila yeye mshingeshinda ule mtanage na BURUNDI remember kijana.
Kwa muelekeo huu,27T ni uhakika ila malengo ya 30T lazima yafikiwe 👇👇
View: https://twitter.com/millardayo/status/1822186508209586201?t=OwoRuE3clBxewnyouE8ovA&s=19
Around 10 mln tonnes n FYI Bamburi cement has been snatched!And yet Tanzanian cement consumption is still below 6.4M tonnes in a year 😂😂
My data Don't prove anything? AseeeBro, your first quote is a blog done by an NGO. The blog is not comparative. You can't use a single blog talking about Kenya only to say, Tanzania is better than Kenya. You need real data by the same organisation giving real statistics comparing the two countries.
Your second quote is a statistic by a business paper mentioning the gap between the rich and poor IN KENYA widened in a given year.
1. There's no similar statistic for Tanzania to compare with.
2. That's a one year trend. Trends change every year, the gap might widen this year, reduce the next.
3. Just because it widened in 2021 doesn't mean Tanzania's poor are better off than Kenya's poor. It also doesn't prove Tanzania's gap is smaller than Kenya's. Remember, the year is 2021 when the whole world experience a widened gap between the rich and poor due to COVID pandemic. The only difference is, such data in Kenya is easily accessible to everyone, you know Tanzania with it's authoritarian vibe. Again, your data is inconclusive.
Finally,
A country like SA has a wider gap between the rich and poor than both Tanzania and Kenya but you and I know the average South African is way better off than the average Kenyan and Tanzanian. Again, your data doesn't prove anything.
It's inconclusive. It doesn't prove what you're trying to argue.My data Don't prove anything? Aseee
"you and I know the average South African is way better off than the average Kenyan and Tanzanian." This assumption derives from low self-esteem.Bro, your first quote is a blog done by an NGO. The blog is not comparative. You can't use a single blog talking about Kenya only to say, Tanzania is better than Kenya. You need real data by the same organisation giving real statistics comparing the two countries.
Your second quote is a statistic by a business paper mentioning the gap between the rich and poor IN KENYA widened in a given year.
1. There's no similar statistic for Tanzania to compare with.
2. That's a one year trend. Trends change every year, the gap might widen this year, reduce the next.
3. Just because it widened in 2021 doesn't mean Tanzania's poor are better off than Kenya's poor. It also doesn't prove Tanzania's gap is smaller than Kenya's. Remember, the year is 2021 when the whole world experience a widened gap between the rich and poor due to COVID pandemic. The only difference is, such data in Kenya is easily accessible to everyone, you know Tanzania with it's authoritarian vibe. Again, your data is inconclusive.
Finally,
A country like SA has a wider gap between the rich and poor than both Tanzania and Kenya but you and I know the average South African is way better off than the average Kenyan and Tanzanian. Again, your data doesn't prove anything.
Mada yetu haikuanza kwenye real estate ownership, kulingana na picha za lower class zinazowekwa humu meaning tunadiscuss lower class.It's inconclusive. It doesn't prove what you're trying to argue.
Sio nisikufanye ucheke that is a bitter truth.Usinifanye nicheke.😂😂
Kwa hivo Rolls Royce ni gari la ovyo kisa haliingii kwa gari zinazoongoza katika mauzo? Patek Phillipe ni saa ovyo kisa haiingii kwa saa zinazoongoza katika mauzo? A380 ni ndege ovyo kisa haiingii kwa ndege zinazoongoza katika mauzo?😂😂 Bro, nenda kaone daktari.😂😂Sio nisikufanye ucheke that is a bitter truth.
Ndio maana hata katika mauzo hizo simu ndio zinaongoza.
Google pixel hata top 7 haiingii katika simu zinazoongoza katika mauzo.
Kama unabisha sema nilete ushahidi hapa.
Unafananishaje kiufanisi Google pixel na hizo simu nilizotaja hapo juu??
Usifananishe magari,ndege na simu mpuuzi wewe.Kwa hivo Rolls Royce ni gari la ovyo kisa haliingii kwa gari zinazoongoza katika mauzo? Patek Phillipe ni saa ovyo kisa haiingii kwa saa zinazoongoza katika mauzo? A380 ni ndege ovyo kisa haiingii kwa saa zinazoongoza katika mauzo?😂😂 Bro, nenda kaone daktari.😂😂
Sawa, umeshinda. Google Pixel ni simu ya ovyo.😂😂😂Usifananishe magari,ndege na simu mpuuzi wewe.
Simu nyingi wanavyotoa orodha ya simu zenye mauzo ujue zinauzika kwasababu mbili,kwanza ubora na pili ni bei.
Ila kitu cha kwanza ni features za ile simu.
Ndio maana mwaka jana kama sijakosea au mwaka juzi Samsung Z fold 4 ilitangazwa kuwa simu bora yenye features nzuri kuliko simu zote duniani.
Na hilo lilianza kutokea 2018 ambapo simu tatu bora zilitangazwa kuwa Samsung,Huawei kesha ndio iPhone.
Na Huawei ilipokuwa inatangaza simu zao ambazo ndio za kwanza za 5G kuliko simu zote,Trump akaagiza Google ifunge huduma katika kampuni ya Huawei.
Ndio maana Huawei ikashuka ubora na kuporomoka katika mauzo.
Simu hizo huwa zinakuwa listed kwa ubora.
Huwezi fananisha Google pixel na hizo simu hapo juu HATA UPUNJE.
Huwenda ukanidanganya kote ila sio katika masuala ya simu.