Mbona likuwe Nairobi? Ni kipi unaogopa? π€£ π€£
Si kila siku tunawaambia humu Dar City ni kubwa kuliko Nairobi city kisa Dar City boundaries ni pana ila ukichukua built up metropolitan area Nairobi ni kubwa na kila siku mnakataa, sasa mbona tukiwaonesha sehemu za Nairobi Metropolis ambazo hazipo within Nairobi County mnaogopa? Yet hizo sehemu zimejengwa na kupangika vizuri kuliko mitaa yenu ya kifahari.
Kwa sasa jiji la Nairobi limekuwa sana. Within Nairobi kupata shamba ni vigumu na shamba lenyewe ni expensive na ukipata huwezi ukajenga mansion maanake haitamake economic sense. Wanaonunua mashamba within Nairobi ni developers na akinunua shamba lililo na mansion, hiyo mansion inakula nyundo panajengwa apartment ya 20 floors. Hapo Kilimani miaka 15 nyuma palikuwa mansions tupu, sahii ni apartments. Ukitaka kujenga mansion kwa sahii lazima uende nje ya Nairobi County. Na nikisema nje ya Nairobi County usidhani ni mahali pa ovyo. Ni mahali kama Kahawa Sukari, Membley, Kitengelea n.k ambapo kwa mipangilio na miundo mbinu pameshinda estate zenu za kifahari zilizo within Dar kama Mbezi na Mbweni.
Bei ya shamba sio sawa kila mahali, bei inalingana ni wapi unanunua shamba na miundombinu ya hiyo sehemu iko vipi. Kwa sasa wanaotaka kujenga mansions Nairobi wananunua mashamba sehemu za mbali kama Lukenya, Isinya, Juja, Kiserian, Limuru n.k na za karibu kama Membley, Syokimau, Kahawa Sukari, Tatu City n.k. Bei ya shamba inavary kuanzia KES 500K - KES 5M kwa ploti ya 50 x 100ft. Ndani ya Nairobi bei ipo juu sana kwa sababu huwezi pata ploti ambayo haina nyumba na pia miundombinu iko sawa na kuna ukaribu wa CBD. Hapa ukinunua shamba unanunua na nyumba iliyoko ndani yake uipige nyundo ujenge apartment yako ya 20 floors uuze. Bei utapata kuanzia millioni 20 kuendelea.
Hata shamba likiuzwa shillingi elfu 20 bado kuna watu ambao hawatoweza kuafford. Humu humu most of you guys don't own land in Dar yet I believe you're among the better off Tanzanian.
You're simply explaining why your city is poorly planned, you're not denying it kwa hivo umekubaliana nami.
Nyumba yoyote inaweza ikakuwa improved. That doesn't change the fact that 80% of your city consists of poorly constructed structures.
We are the EA powerhouse, that's true. We have poor people, that is also true. Even South Africa is the African powerhouse na wana nyumba za bati. Even France and US kuna nyumba za bati.
Hili ni lenu mnalofosi otherwise Kenyan cities just have as many slums as the ordinary third world city but if you keep on deceiving yourself that Kibera, a tiny place of 2.5 sq. km has 2 Million people despite being proved wrong a million times you will live your life believing Nairobi is the capital of slums.
Hii video, nilikuwa nimeenda Syokimau kutafuta shamba la kununua nijenge. Nilikuwa nauziwa 800k per 40 x 80ft. Nilikuwa nimechukua ploti mbili (KES 1.6M) nikalipa 10% (160k) ila baadae hatukuelewana na mwenye alikuwa ananiuzia ikabidi anirudishie pesa yangu. Hili ni eneo ambalo 10 years ago waliishi wild zebras yet kwa sasa limejengeka mamansion tupu ukiangalia kwa horizon unaziona.
View attachment 3064379