ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Gari zinakula mpaka AC 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
View: https://www.instagram.com/reel/C-LGvOQt0Ne/?igsh=MTJxb3JrcWx2Z2l6OA==
Yanga ni mchumba kwa Gor Mahia.Ilikua mwaka gani hii?? Zilipendwa 😅😅😅
Ww mpumbavu Tizama hio video hzo gari zimepaki ndani ya jumba alaf kuna AC zimewekwa ndani ya parking area 🤣🤣🤣Dah Ac ni kitu cha kuringishia ndani ya gari, kesho naona utatusifia Airbags 😂😂😂
Nimekuuliza mwaka gani zilicheza, Gor mahia hio ambayo imetolewa juzi kagame cup na team ndogo Sana 🤣🤣🤣🤣🤣Yanga ni mchumba kwa Gor Mahia.
Wewe uko na pesa?Hii kisumu kwa watu wenye pesa haiwezi Tonia hata kwa a random village center of katoro in geita.
Na spare tyres😂😂🤣🤣Dah Ac ni kitu cha kuringishia ndani ya gari, kesho naona utatusifia Airbags 😂😂😂
Sports ni leisure ambayo mtu hufanya ukishashiba. Huwezi kuwa na njaa na hujui utakula nini kabla jua halijazama halafu ukapoteza muda kwenye sports 😁Labda wajaze mtaa na Masufuria kichwani ya Ugali 😂😂😂😂
Si Yanga pia juzi ilichapwa na Kariobangi Sharks😂😂🤣Nimekuuliza mwaka gani zilicheza, Gor mahia hio ambayo imetolewa juzi kagame cup na team ndogo Sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Acha kukurupuka wewe. Hio car garage ni air-conditioned.Dah Ac ni kitu cha kuringishia ndani ya gari, kesho naona utatusifia Airbags 😂😂😂
Sasa hivi Gormahia ikicheza na Yanga Gormahia inafungwa 50.Yanga ni mchumba kwa Gor Mahia.
Makalio wewe Yanga gani ilicheza na kariobangi!?Si Yanga pia juzi ilichapwa na Kariobangi Sharks😂😂🤣
Hata hao baadhi ya wazungu anaokuwa anajitamba nao kwamba wanasema Nairobi imeendelea kuliko Dar ni wale wazungu ambao ni wageni sasa waki Google wanakuta articles za wakenya wakijisifu wapo juu ya nchi zote EA so nao wanaenda na perception hiyo, ila wakija wanakuta utofauti mkubwa, na kiukweli hayo yote tumeshaanza kuyabadilisha mana na sisi nowadays tupo vzr mitandaoni, ukweli ni kwamba kwa sasa nchi zote EA tumezizidi mbali kimaendeleo. Tanzania kuna sehemu zina view za Europe kabisa ambazo huwezi kukutana nazo nchi nyingi za kiafrika, mfano mdogo hizi hapa ambazo ni chache kati ya nyingi tulizo nazo 👇👇👇👇Wewe Kima nyie wapumbavu hamtuzidi ki barabara kwa sasa, vibarabara vyenu vyote ni basic four lanes roads. 🤣😂😂 dar ishatoka huko mzee, Nyie mna barabara mbili zenye they are more than four lanes. Au naongea uongo.? Sisi kati ya barabara sita kubwa za Dar, ni moja tu ndio ni four lanes. The rest ni kuanzia 6 lanes na kuendelea.
Gor Mahia haina hadhi ya kucheza na Yanga kwa sasa, ni sawa na timu ya mchangani iite Man united icheze nayo, timu za hadhi ya Yanga huwa zina ratiba nyingi, so ukitaka kucheza nayo inabidi uombe mwaka kabla, pia kwa ajili ya kulinda wachezaji wao kuumia kutokana na timu ndogo kukamia mechi.Sasa hivi Gormahia ikicheza na Yanga Gormahia inafungwa 50.
Labda Gormahia tuipe Tanzania Prisons ndio watatoshana.