Rhaenyra Targaryen
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 879
- 1,040
Badala ya kujishughulisha kuendeleza Dar upo unasumbuliwa eti wakenya waseme Nairobi haijaendelea? Ndio iweje? Hivi Dar ilivyochoka barabara za vumbi kila mahali unaweza niquote post moja tu uliyosema Dar haijaendelea? Yani unaona vyema mji wako ukose maendeleo na uendelee kuusifia tu ila unasumbuliwa na Wakenya kisa hawajasema Nairobi haijaendelea? Huna akili wewe.Tatizo mnaongea sana na misifa juu. Hapo hujajibu hoja yangu kuhusu hizo barabara za Nairobi kuwa mbovu. Umeanza topic nyingine.
Muda mwingine unakubali kuwa bado mko nyuma Nairobi is still a developing city just like any other city in Africa...
Lakini kenyans wanaona wao ndo wameendelea na mbaya zaidi are always bashing other countries zilizo busy kuimprove their countries. ...
A lot has to be done to Call Nairobi a developed city.