Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Matatizo ya kiufundi ni kawaida tu kwa treni mpya,reli mpya ya umeme. Bado wanasafiri na wale Wakorea na Waturuki kwa kujua kuwa haya yanaweza kutokea.
Kuna kitu nili note wakati naenda Dodoma,kila treni ikifika kwenye power substation inakata moto ikipita inawaka tena inaendelea,safari nzima ilikuwa hivi. Lakini from Dom to Dar hii kitu haikutokea sijui nini ilikuw sababu.
NB:Ikikata moto haisimami inasinzia tu halafu inaendelea.
Kuna mambo mawili yawezekana wanafanya majaribio au hujuma zimeanza bado mapema Sana na safari hii tusipokua makini hujuma zitakua nyingi Sana kwasababu tunaleana watoto WA mjomba na shangazi 😂😂😂😂😂

Yani treni ya mzigo imeanguka naona mtoto WA mjomba amekalia kiti cha uwaziri anazungumza hehehe🙌🙌🙌
 
Ya dodoma ina cover mabehewa kama 4 au 5 tu na hiyo treni inaweza kuchukua mabehewa mengi sana ilitakiwa hiyo platform iwe 1km si vinginevyo ....pia yakenya imejengwa kisasa hata sakafu tofauti na yetu sehemu ya kupandia sakafu ni mbaya huo ndiyo ukweli ...pesa zilitosha kufanya hayo yote vizuri kabisa
Imekuwaje pesa ilikuwa inatosha
 
Makutano, Kirinyaga County
1722403277373.jpg
 
Back
Top Bottom