Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,879
- 103,745
ule umeme wake inayou-store incase ya matatizo vp? Mi nadhani Kadogosa inapaswa ajipime alipewa miezi saba na bado pale Dodoma treni inaposimama kuna empty track ukiacha parking lot ya magari hata kuchora mistari hakujafanyika na vivuko (overpasses) za Dar hazijakamilika! Na sasa treni imepata defect siku moja kabla ya uzinduzi! Ni mzembe!View attachment 3057196SGR usiku huu imekwama njiani.
Maneno ya shuhuda "Circuit breaker haipeleki umeme"
Niwatakie usiku mwema
Aisee hii ni hatariiView attachment 3057196SGR usiku huu imekwama njiani.
Maneno ya shuhuda "Circuit breaker haipeleki umeme"
Niwatakie usiku mwema
Hata haijamaliza mwezi na tayari ishaanza kuzima 🤣🤣😂😂. Vile unaendelea hivi wazalendo watakuambia unahujumu nchi😂😂View attachment 3057196SGR usiku huu imekwama njiani.
Maneno ya shuhuda "Circuit breaker haipeleki umeme"
Niwatakie usiku mwema
12 hrs Dar_Dodoma with stop over in the middle of nowhere
Matatizo ya kiufundi ni kawaida tu kwa treni mpya,reli mpya ya umeme. Bado wanasafiri na wale Wakorea na Waturuki kwa kujua kuwa haya yanaweza kutokea.View attachment 3057196SGR usiku huu imekwama njiani.
Maneno ya shuhuda "Circuit breaker haipeleki umeme"
Niwatakie usiku mwema
Bado tunaisikilizia kwa initial runs mpaka mama azindue hayo ni matatizo madogo madogo ya kutatua kama ticketing etc.
Treni za umeme hata za ulaya huwa zinafanya hivyo zinapopita kwenye neutral zones ambapo source ya supply ya umeme inapobadilika.Matatizo ya kiufundi ni kawaida tu kwa treni mpya,reli mpya ya umeme. Bado wanasafiri na wale Wakorea na Waturuki kwa kujua kuwa haya yanaweza kutokea.
Kuna kitu nili note wakati naenda Dodoma,kila treni ikifika kwenye power substation inakata moto ikipita inawaka tena inaendelea,safari nzima ilikuwa hivi. Lakini from Dom to Dar hii kitu haikutokea sijui nini ilikuw sababu.
NB:Ikikata moto haisimami inasinzia tu halafu inaendelea.