AMARII
JF-Expert Member
- Aug 23, 2023
- 1,286
- 3,206
Treni za umeme hata za ulaya huwa zinafanya hivyo zinapopita kwenye neutral zones ambapo source ya supply ya umeme inapobadilika.
Sahihi kabisa... Mambo ya AC na DC current kwenye umeme.
Treni inatemebea na umeme.. Ikifika kwenye substation lazima ikate umeme wake ili ichukue umeme mpya kwenye substation na kuendelea na safari.
Treni za umeme hata za ulaya huwa zinafanya hivyo zinapopita kwenye neutral zones ambapo source ya supply ya umeme inapobadilika.