Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,885
- 103,752
Unatujua wewe? SGR watu wanapita kwenye mitaro na culvert! ujingajinga mwingi! BTW VETA wapo Kigoma sasa sijui inakuwaje hii maneno!Hio Barabara ya Aina hio ni mpya kigoma mzee hata flyover ilipokua inajengwa dar kuna ishara na elimu ilitolewa, mbona kwenye Kodi munatoa elimu 🤣🤣🤣