Sikia mnafeli kitu kimoja kusahau wananchi? Unajua why Magufuli alikua anachukua maamuzi magumu dhidi ya Makundi, ni kwasababu alikua na full support na wanachi hivyo ikawa ngumu yale makundi kueneza propaganda wakaishia kuufyata.
Sasa huyo mama yenu kila kukicha matozo, mara kugawa vyanzo vya mapato, siasa nyingi kwenye usimamizi wa huduma za wananchi.
Unafikiri hayo makundi yakiamua kutumia hizo mbona population itasway hadi kupelekea yeye kupata upinzani.
Cha kufanya Population support ndio mnahitaji for now, na support ya population haiji huku kila kukicha vitu vinafumuka bei, dola inapotea, uzembe mwingi, matumizi mabaya ya kodi kununua magari wakati kuna sehemu miundominu ni changamoto, ukosefu wa mkakati wa kuokoa uchumi.
Hana timu yake kwenye sekta nyeti yaani timu isiwe na doa kabisa refer JPM
TANESCO ilijaa watu wapya wote wana degree ya umeme.
Fedha na mipango hakukua na wanasiasa bali kulikua na watu wanaojua wanachofanya.
Wizara ya kilimo ndio ilimleta huyo Bashe ambaye muda huu anawasaidia kumpa mama sifa.
Ujenzi na miundombinu kulikua hakuna usumbufu wa kuchelewa chelewa uslow. Yaani kila kitu kilikua kwa mstari.
Wizara ya Madini nayo pia.
Na kumbuka kila wizara hapo ilikua na mikakati yake ya kukuza uchumi wa nchi.
Ila now mpo na siasa sana kwenye wizara kiasi performance ya miradi au vitu vilivyochini ya wizara mnashindwa endesha hadi kuwapa watu wa nje.
Hapo hamna population support kabisa yaani seriously Mwinjaku na Baba levo ndio mnawapa mike kutufafanulia suala.la Bandari?