Nani anataka kuona hii takataka mwendo wa kobe,halafu wehu ndio wanataka kucompare huu uchafu na sgr yetu!
Sasa mbona alioyafanya Magufuli mkamuita names ndio mnayafanya upya? Mkubali Intel ya mwamba ilikua before time, ni mengi saivi mnalearn in a hardway kukubali JPM alikua hakurupuki, Samia aliingia kwa mbwembwe kumkosoa Magufuli mpaka kwenye mifumo ya ukusanyaji kodi na kusema eti hataki kodi za manyanyaso, saivi kila siku anabalisha makamishna na kupayuka kodi hazilipwi hazitoshi hazikusanywi, zile 4R zake eti reconciliation, resiliency, rebuilding, reform ni sera ambazo zinafawekwa kwa nchi zilizotoka kwenye crisis na failures, kuchukua nchi iliyojengwa vizuri na kusafishwa kutoka kwenye uozo wa ufisadi, rushwa, uzembe, ujinga na Magufuli na kuifanya nchi ya kuigwa Africa halafu kuja na hizo 4Rs ni matusi makubwa kwa kazi kubwa iliofanywa na Magufuli.
Hana nafasi tena Azam kashampiga na kitu kizito chenye ncha kali 😁Wanataka kutujumuisha watanzania kwenye ligi yao ionekane ipo juu mnakumbuka Dstv alivyo kuwa anataka mechi zetu zichezwe saa sita na saa saba ndiyo azionyeshe saizi anajiuliza alikosea wapi hana pakushika tofauti na mpira wa EPL kwa hapa kwetu
Ulitaka aende wapi? Mbona Watoto wa wajomba na dada walikuwepo kama wote ofisini awamu Ile? Unajitoa ufahamu? Ulikula wajomba mnao nyie tuu? 🤪🤪🤪🤪Naona mtoto WA mjomba bado Yuko ofisini 😂
Ulitaka aende wapi? Mbona Watoto wa wajomba na dada walikuwepo kama wote ofisini awamu Ile? Unajitoa ufahamu? Ulikula wajomba mnao nyie tuu? 🤪🤪🤪🤪
Kazi inaendelea 👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/C-Ct1a9trzP/?igsh=am93aHF3ZnVyMHNi
kwanza, KQ inalipia parking, atcl hailipi parking wanabebwa na serikaliHivi wewe unahabari kwamba airport yenu kapewa muhindi au unapayuka Tu, tena miaka 30!
Nchi yenyewe mna airport moja, na hiyo hiyo mnauza, hivi mnaakili Kweli??
Leo hii KQ anapitia kipindi kigumu, kwa sasa akidhindwa kulipa parking fees and such mnaweza kuuchuna na kumpa muda. ADANI atakubali?? Eti KQ mwaka mzima haijalipa madeni yake, atakubali.
Hii ni blunder kubwa mnafanya.
Folded seats watoe wapi mzee, 🤣🤣Mko na folded seats? Like Amahoro or namboole stadiums????
Ww ndio CEO WA TAA??😂😂😂😂kwanza, KQ inalipia parking, atcl hailipi parking wanabebwa na serikali
Pili, Tuna international airport zaidi ya nne
Tatu, usifosi tufanane.
The only fenced SGR in EA 😍😍😍😍Nani anataka kuona hii takataka mwendo wa kobe,halafu wehu ndio wanataka kucompare huu uchafu na sgr yetu!
Kamepanik, sio siri atcl wanabebwa hata parking hawalipi. Ukichunguza utapata hata mafuta ya ndege hesabu inapelekwa ikulu 😂😂😂Ww ndio CEO WA TAA??😂😂😂😂
Nimekuuliza ww ndio CEO WA Tanzania airport authority??😂😂😂 Huna akili weweKamepanik, sio siri atcl wanabebwa hata parking hawalipi. Ukichunguza utapata hata mafuta ya ndege hesabu inapelekwa ikulu 😂😂😂