Jiulize why watanzania wengine wamenyamaza na hawaongelei hayo mambo ya TPA, Dodoma Parliament and Rock City mall? It’s because They know the truth.
Here is the designer talking about designing Rock City mall.
View: https://youtu.be/tlYv47dhcVY?si=Rb6ikHrcbH2wmGy7
View attachment 3048466
Yale yale nilokua nayasemea.
Bunge la kwanza la Tanganyika lilijengwa na Tanganyikans wenyewe kuanzia usanifu mpaka jengo kusimama.
Baadae bunge likafanyiwa renovations tu.
Ila muundo unauona hapo ni muundo wa usanifu wa kiislam/wa kiarabu.