Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Buguruni boma road, 😅😅😅😅
Sijui tunajenga nn hapa

Tuendelee kusifia Tu

Screenshots_2024-07-11-12-09-25.png
 
Peza zimekopwa za kutisha Kwa Ajili ya hizo lots za Sgr au unapayuka tuu?

Kuna Mkopo Huwa inakopwa bila kusema utakachofanya?

Mwisho hizo Sgr zako ni kipaombele Cha nani hasa?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Haya tuseme hakuna pesa imekopwa kwa ajili ya phase 3,4 and 6

Haya tushangilie na kusifia 😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom