ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
Hio lot 5 ilishaanza KAZI toka magufuli Yuko hai 😅😅😅😅😅 nauliza lot 3, 4 and 6 ziko wapi na mikopo ya kutisha imechukuliwa au KAZI yetu Sisi ni kusifia Tu
View: https://x.com/Hakingowi/status/1347909787418169345?t=bgwj5iWrjqq2ca0-0f0Vlw&s=19
Kwani vilivyokamilika havikuanza kazi? Au vilikiwa vimekamilika? Hujiulizi Kwa nini aliruka na kwenda kuanza Cha Mwanza?
Hivyo ndivyo priority zinakwenda.