Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na anakwambia haoni Kodi 🤣🤣🤣🤣
Juzi kasema anakopa kwasababu haoni Kodi zenyewe

Na hapa tunaambiwa Kodi zinaongezeka

Haya tuendelee kusifia chawa WA mama🤣🤣🤣
Ndio kwani hizo Kodi zinatosha kuleta maendeleo Kila Kona ya Nchi hii? Kenya Wanakusanya Trilioni 47 ,why Tzn Trilioni 27?

Wewe unaona Kodi inapungua?
 
Ndio kwani hizo Kodi zinatosha kuleta maendeleo Kila Kona ya Nchi hii? Kenya Wanakusanya Trilioni 47 ,why Tzn Trilioni 27?

Wewe unaona Kodi inapungua?
Mm naona tunaenda kwenye wrong direction so far tuletee mradi wa kutoka makutopora kwenda tabora na kutoka tabora kwenda isaka 😅😅😅😅😅😅

Tunataka kuona zile pesa zimekopwa zimefanya nn so far na ukumbuke miradi yote miwili ina about 2yrs now 😅😅😅😅

Usifkiri unajua kila kitu Mzee mengine hua tunayamezea Tu

Tuendelee kusifia,
 
Mm naona tunaenda kwenye wrong direction so far tuletee mradi wa kutoka makutopora kwenda tabora na kutoka tabora kwenda isaka 😅😅😅😅😅😅

Tunataka kuona zile pesa zimekopwa zimefanya nn so far na ukumbuke miradi yote miwili ina about 2yrs now 😅😅😅😅

Usifkiri unajua kila kitu Mzee mengine hua tunayamezea Tu

Tuendelee kusifia,
Kuna pesa inakopwa haielezi Cha kufanya? Mtaona tuu kwani kazi zimesimama?
 
Kuna pesa inakopwa haielezi Cha kufanya? Mtaona tuu kwani kazi zimesimama?
😅😅😅😅😅😅 Naomba majibu plz👇👇👇
Mm naona tunaenda kwenye wrong direction so far tuletee mradi wa kutoka makutopora kwenda tabora na kutoka tabora kwenda isaka 😅😅😅😅😅😅

Tunataka kuona zile pesa zimekopwa zimefanya nn so far na ukumbuke miradi yote miwili ina about 2yrs now 😅😅😅😅

Usifkiri unajua kila kitu Mzee mengine hua tunayamezea Tu

Tuendelee kusifia,
 
Mbeya 🔥🔥🔥
View: https://twitter.com/Visitmbeya/status/1811150949647327608?t=eFYkzJpoUugvd_7tbeMbow&s=19
20240711_085120.jpg
 
Back
Top Bottom