much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,065
- 21,548
Kwamba wameishiwa majengo?
Hatari mkuu,sasa ikifika mwanza halafu mizigo ya uganda ipitie port bely ukunyani si kutatokea machafuko kabisa!niliwaambia watu SGR Tanzania ikianza wataandamana kule kwao!
Hata waziri mkuu alisema kwa mahitaji yetu ya sasa speed ya 160kph inatutosha ila huko mbeleni vizazi vijavyo wakihitaji speed zaidi wanaweza kununua trains zinazokimbia mpaks 205kph.Yule injinia wa reli na mkurugenzi wa miundombinu, Machibya Masanja aliwahi kusema reli imasanifiwa kwenda hata zaidi ya 200km/hr ila kwa kuanzia RTC ilinunua hizo treni za kuhumili 160km/hr
Ulikuwa hufahamu hili? kila siku hapa tunamuelimisha Reborn tkd kuwa yeli yao haiwezi kwenda speed ya 200km/hr kwa sababu ya limitations za mtetemo.
Tumeshatoka huko 90s nyie mnanunua mtumba karne hii 🤣🤣🤣🤣Football Nation getting professional...View attachment 3034126View attachment 3034127View attachment 3034128
Mbio mbio mwamba ashafungwa miaka 2 kuchoma picha. View attachment 3034129
Kuleni ya mwisho mwisho by the end of next year Uganda atakuwa anatunia mafuta yake mwenyewe.Uganda first direct oil imports through kenya. They will use our storage and pipeline. View attachment 3034130View attachment 3034131
Mbona Chinese bus zile za AVA ziko wap😂😂Football Nation getting professional...View attachment 3034126View attachment 3034127View attachment 3034128
Fundi Maiko jua kali hata kunyosha hiyo mifereji shida you guys are addicted to low quality stuffs.Football nation getting the stadiums ready to host afcon by itself. View attachment 3034157View attachment 3034158
So kutukana viongozi matusi ndio haki?😂Mwanamke Saudi Arabia anahaki nyingi kumliko mtanzania.
Rais wao alikuwepo Tanzania hii juzi na wana ma Ikarus mazuri sana ya umeme kwa sasa.Old good memories Ikarus from wajamaa wenzetu Hungary 1980s
Zile double decker za Germany, IC, zinakwenda above 200kmph.Hata waziri mkuu alisema kwa mahitaji yetu ya sasa speed ya 160kph inatutosha ila huko mbeleni vizazi vijavyo wakihitaji speed zaidi wanaweza kununua trains zinazokimbia mpaks 205kph.
Ethiopia ndiyo ana uchumi mkubwa EA lkn ndiyo wenye maisha magumu kuliko Kenya, kwa kifupi maisha magumu Ethiopia anaanza alafu anafuatia Kenya. GDP ni usenge mmoja hv wa west ili kutupumbaza, hv kwa miradi tuliyonayo unaweza kuamini Kenya inaizidi GDP ya Tanzania kwa sasa? Ni mpumbavu pekee atayeamini ujinga huo.Suala la gdp 2023
Kwa africa nanba moja hadi kumi
1.Egypt gdp $395B
2.South Africa $377B
3.Nigeria $362
4.Algeria $239B
5.Ethiopia $162B
6.Morocco $141B
7.Sudan $109B
8.Kenya $107B
9.Angola $84B
10.Tanzania $79B
Nme note Ethiopia Wamepanda hadi sio vizuri sijajua wamefanya nn
In order to get to nothern Tanzania, tourist must land at JKIA and take a flight to Arusha. KQ subsidiary precision Air dominates that route. View attachment 3034177View attachment 3034178View attachment 3034179
Alafu ndege iliyotumika hapo ni Air Tanzania 👇👇🤣🤣🤣🤣In order to get to nothern Tanzania, tourist must land at JKIA and take a flight to Arusha. KQ subsidiary precision Air dominates that route. View attachment 3034177View attachment 3034178View attachment 3034179
niliwaambia watu SGR Tanzania ikianza wataandamana kule kwao!
SGR yetu ni gumzo uko ukunyan,kwenye comment za hii video nimeona maumivu ya kunyan ni makali mno