Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usipoteze mada bradhee. Tunaongelea ujinga wa ndugu zako. Hivi wewe ulielewaje post niliyokurespond kuhusu MPESA na Bank Accounts?
Hawa mangese kwani huwajui, Nimetuma 5k right now from Mpesa mpaka I&M bank account freely bila transaction within seconds alafu bado wanashangaa na bank penetration in Kenya. Kila mtu mwenye line ya Mpesa ama Airtel tayari yuko banked
Picsart_24-07-03_13-38-38-295.jpg
 
Kuna uzi humu watu walikuwa wanasema ile 100,000/- ya Dar Dom ni ghali wanasema treni huko majuu ni rahisi kuliko usafiri wowote. Nikawauliza wapi huko coz nijuavyo treni London to Manchester ni £100, kwa bus ni £15 at the same time ndege London to Mallorca Spain ni kama £50 tu.
Comparing Apple to oranges, Uk train price cannot be used in any African context, this is the laziest way to justify overpriced slowest bullet train in the world 😂😬
 
Back
Top Bottom