Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Grosvenor 2x30flrs towers itaisha kabla mzizima ipate tenant mmoja
IMG_1230.jpeg
IMG_1264.jpeg
 
Sawa kabisa,ingekua jiografia imewafavor kama sisi wasingekubali,tena ni uzembe wetu ndio unafanya hata sasa burundi,drc na rwanda kutumia bandari ya msa
Umesahau kuitaja Tanzania, mizigo yake tunashusha hapa Mombasa na soon tunapiga transshipment Lamu.
 
Chuma inahitaji overhaul hii 🤣🤣🤣
Ubaya wa diesel train ndio huu maintenance cost ni kubwa.
Hawa jamaa kila kitu kwao kibovu.
Zile tunazotumia sisi huwa zinahifadhi nishati yani kama generator kuna muda zinatumia nishati iliyokua generated kutembea huko mbeleni.
Ndio maana unakuta hakuna hata moshi kiasi hicho.
 
All n all wote tuna miji mizuri thanks God for that mm mtanzania sisifii dar es salaam Wala Nairobi no battle I love both karibuni bongo dar es salaam
 
Hawa jamaa kila kitu kwao kibovu.
Zile tunazotumia sisi huwa zinahifadhi nishati yani kama generator kuna muda zinatumia nishati iliyokua generated kutembea huko mbeleni.
Ndio maana unakuta hakuna hata moshi kiasi hicho.
Napenda vile huwa mnatumia nguvu nyingi kujuliwaza, like nani hawezi ona hio picha imekua edited tena very poorly lakini naelewa lazima agenda isonge mbele ausio. Lakini kaeni mkijua mmepigwa 😂😂😂
 
Napenda vile huwa mnatumia nguvu nyingi kujuliwaza, like nani hawezi ona hio picha imekua edited tena very poorly lakini naelewa lazima agenda isonge mbele ausio. Lakini kaeni mkijua mmepigwa 😂😂😂
Kati ya sisi na ninyi nani kapigwa!?
Reli yenu ya SGR inafika hata 700km!?
Ila tizameni bajeti mliotumia pia tizameni lokomotives mnazotumia vinalingana!?
Kubalini SGR mmepuyanga tu mazeh.
 
Sasa niache kuwa na ardhi huku bara niende nikabanane Zanzibar. Huo ni ujinga uliopitiliza.
Halafu kwa taarifa yako 70% ya wazanzibari ni wanyamwezi toka Tabora na Shinyanga.
Zanzibar ni kubwa kuliko dar slum, wakati huo ina idadi ya watu 1M ilhali dar ina watu 8M. Wapi kumebanana, in short mmepigwa 😂😂😂
 
Back
Top Bottom