Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha nikuulize swali, ushawai kula GMO octopus? Ushawai kula GMO shrimp? Ushawai kula GMO squid? Alafu hivi, mwenzako amepigwa za uso akapostiwa seafood ya Tshs. 80k baada ya kumsema mwengine eti hana hela ya chakula na hapo jibu lake ni hiyo seafood ni GMO, huoni kama hiyo ni sour grapes incident? Mbona hujamkashifu kwamba sungura kakosa mizabibu kasema chungu? Jiulize hayo maswali utaona unafiki wako ulipo. Sio lazima unijibu ila najua utauona unafiki wako.
Hata sijui. Hata mahindi ya GMO sijui. Hivi unajuaje kama hii ni GMO ? Labda nimewahi kula na sijui.
 
Ila kile chakula kimewaumiza sana. Mzee wa milo mitano. 😂 😂
Swetie nimeshajishibia hapa nilipo natafuta usingizi halafu on second note sea food ya Tz ni balaa huwezi linganisha na hiyo aliyekula yule jamaa wa one meal 😁
Njoo Tz nikutembeze kila mahali utafurahi ukawe a good ambassador kwa wenzako.
 
Wacha nikuulize swali, ushawai kula GMO octopus? Ushawai kula GMO shrimp? Ushawai kula GMO squid? Alafu hivi, mwenzako amepigwa za uso akapostiwa seafood ya Tshs. 80k baada ya kumsema mwengine eti hana hela ya chakula na hapo jibu lake ni hiyo seafood ni GMO, huoni kama hiyo ni sour grapes incident? Mbona hujamkashifu kwamba sungura kakosa mizabibu kasema chungu? Jiulize hayo maswali utaona unafiki wako ulipo. Sio lazima unijibu ila najua utauona unafiki wako.
Wako wengi tuu chinese shops.
 
Hali ilivyo huko kundurenda baada ya kusikia majoka matatu ya The best 007 yameingia Tanzania
Unyama ndio huu View attachment 3031614View attachment 3031615View attachment 3031616View attachment 3031617vibwengo vya north vitaishia kuziona kwenye picha tu. 🤣🤣🤣 cc The best 007.
20240327_162932.jpg
20240421_194629.jpg
20240702_164143.jpg
20240411_152258.jpg
 
Do you know why when people get sick are sometimes prescribed vitamins?
Kwanza,to boost their appetite so they they eat and boost immunity.
Mimi sio Daktari lakini kwakua nimeshughulika nao kwa muda sana due to medical condition niliyo nayo. Kuna general assumption among them kuwa vitamins huboost appetite but in reality sio kweli. Haya mavitamins hutia tu mtu njaa na hayaboost appetite.

Condition niliyonayo ni cardiac ambayo tatizo lake kubwa ni kukosa hamu ya kula kabisa, nimekuwa nikipewa maujinga hayo since childhood, initially assumption ilikuwz ni minyoo. Haikuwa na masaada wowote zaidi ya kuumiza kwa njaa lakini appetite ya kula haikukuwepo till nilipokuwa mkubwa na kutafuta suluhu na suluhu bora ilikuwa ni life style na muda sahihi wa kula, nini na nini si cha kula or cha kunywa. I will stop here.
 
Back
Top Bottom