Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Una shida kiakili mzee. 🤣🤣🤣🤣Umepanic, nilikuambia dar slum ni meffi 😂😂😂
Una shida kiakili mzee. 🤣🤣🤣🤣Umepanic, nilikuambia dar slum ni meffi 😂😂😂
Hili jengo lipo miaka kwenda miaka Rudi 😂😂Sheheena marina 22flrsView attachment 3028565View attachment 3028599
Ni baada ya yule trainer wenu mwenye rasa kuja Bongo!Jf wamekaza mqundu lakini twitter wamekubali mziki. Alafu trending topic ni "usenge"View attachment 3028628
Ni baada ya yule trainer wenu mwenye rasa kuja Bongo!
View: https://youtu.be/x5xqJFfHnqo?si=nuK7zZctphKo_M0Y
Uzuri hii migomo inarudisha Kshs kulekule saahii utalii umedorora wageni wametoroka na uzalishaji umesimama!Unajua mm nilijiuliza Sana VP ruto anakopa 250b ksh eti kurudisha thamani ya ksh against USD Yani nilijiuliza Sana lakini baadae nilijua Kenya imekufa tayar 😂😂😂😂
Fools of the highest order!Uzuri hii migomo inarudisha Kshs kulekule saahii utalii umedorora wageni wametoroka na uzalishaji umesimama!
Budget deficit imeongezeka pia!Fools of the highest order!
Kichwa maji😎Fools of the highest order!
Yaani kama Dar mpaka Moro tu kunakua na nyomi kubwa hivi la abiria, vipi kuhusu Dar to Dom, Dar to Mwanza je? Vipi Dar to Kigoma? Tanzania to Burundi itakuaje? Tanzania to DRC je? Ni balaa
Kawaida railway business hubreakeven kwa kupitia mizigo freights mostly lakini inaweza Tanzania kuweka historia passengers volume ikafanya project kubreakeven
View: https://youtu.be/nynHfVye0SM?si=2lDiemGsjyhwruBU
Uwezo wako ni mdogo sana kuelewa alichosema.Ilimradi tuu roho inakuuma 😂😂😂😀
Ni baada ya yule trainer wenu mwenye rasa kuja Bongo!
View: https://youtu.be/x5xqJFfHnqo?si=nuK7zZctphKo_M0Y
Yaani yuko kutrain wake na waume wawe na tako sexy!!This subtle promotion of gay shit has to stop, in our country.
Haiwezi kuwa mbovu, wanazima sababu kuna watu wanaogopa kutumia ikiwa on wameshazoea ngaziila mbona escalator haitengenezwi? Tatizo nn?
Ni kweli kabisa, station ni ndogo kama watakuwa wanatoa abiria wote wa mikoani kwa wakati mmoja angalau wangekua wanawagawa kwamba abiria wa Dodoma wakae floor a abiria wa Morogoro wakae floor b wakati wanafanya ticketing na kusubiri train lakini kuwakutanisha wote ni uongo, abiria wa Morogoro tu wametosha kufanya floor yote kuwa busy, vipi kama wakikutana wa mikoa yote project ikikamilika? Pia waweke multiple take offs with at least 2 hours intervals na wasisitize watu wakate online, mtu afike station tu dakika 35 kabla ya safari ili kupunguza congestion,Steshen ya Dar ni ndogo sana hata ya Dodoma pia. Kwa sababu ya kujihami na criticism Magu alijenga steshen ndogo. Ila kiukweli ni kuwa, ukiangalia nyimi linalo safiri daily toka kwa Dar Bus Terminal utajua tunaitaji steshen kubwa sana itakayo ruhusu multiple trains at wakati mmoja. Hakuna mtu ataenda Moro kwa 4hrs wakati anaweza enda kwa 1:30hrs tena kwa bei ya chini. Chomi lote la mabasi litaamia kwenye treni.
View attachment 3028698
Nendeni mkamshukie huyu mbwa Mnigeria. Anajelaz sana, Nigeria iz no betta zan Kenya.Sports and economic dominance go together… in the just concluded Africa Athletics championships in Cameroon, Kenya emerged 2nd overall despite sending a joint Team B and C .. ( Team A is preparing for the Olympics and were not allowed to participate by the Kenya governing body )… Where was Tanzania?… to enforce my point .. watch the Paris Olympic’s opening ceremony parade of nations… stronger countries have the biggest delegations walking… Kenya and South Africa will have the largest African delegations… what does that tell you?..…remember my post.. I will update it after the Opening ceremonies …Bongo maybe 10 people total..🤣🤣🤣..and I will bet anyone that Kenya will top the Africa medal tally at the Olympics ( again as usual)…
View attachment 3028720