Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,872
- 32,650
Halafu huo wimbo sasa😎😉Watakuambia eti maandamano ya Gen Z hayakua ya kikabila, ona hapo baada ya kumuondoa Ruto wameliacha bango lenye wa kabila lao utafikiri kwenye hiyo bill hawahusiki, Kunyaland ni ukabila mtupu