Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Rio appartments 22flrs ×2, Mombasa
img_20211227_153409-jpg.3028549
View attachment 3028550
Mbn render na uhalisia havifanani? Naona udongo mtupu, btw, je hii itapunguza makali ya kodi?
 
160km ni nyingi Sana 🙃
We ng'ombe kweli, katika kilometers almost 800 kuwa na kipande kidogo cha kilometers 160 zilizopo under construction unasema ni nyingi? Ulitaka barabara yote ijengwe overnight iishie kuwa na potholes kama zenu, angalia quality ya barabara za lami Tanzania ulinganishe na uchafu wenu, from Mpanda to Tunduma hatakanyaga tope tena ni carpet mpaka Zambia

Screenshot_20240628-214534.jpg
 
Ni nyinyi pekee mnaoabudu viongozi wenu. Huku criticism huwa kila siku na haijaanza na hii finance bill.
Hawa hata hawajui finance bill ni nini. Wameiskia mara ya kwanza na haya maandamano ya Kenya. Hawa wapo wapo tu kama vifaranga kiotani, kila waletewacho watafungua tu midomo kukibugia. 🤣 🤣 🤣 🤣
maxresdefault.jpg
Tanzania haiwezi kuwa na mapunguani kama hayo yenu yasiyojua yanachofanya ndio maana wame ya set 🔥🔥🔥🔥 eti saizi yanaomba msamaha 😂😂😂😂

Bunge la Tanzania Lina sifa zifuatazo 👇👇
20240627_202904.jpg
 
Yaani kama Dar mpaka Moro tu kunakua na nyomi kubwa hivi la abiria, vipi kuhusu Dar to Dom, Dar to Mwanza je? Vipi Dar to Kigoma? Tanzania to Burundi itakuaje? Tanzania to DRC je? Ni balaa

Kawaida railway business hubreakeven kwa kupitia mizigo freights mostly lakini inaweza Tanzania kuweka historia passengers volume ikafanya project kubreakeven


View: https://youtu.be/nynHfVye0SM?si=2lDiemGsjyhwruBU
 
Yaani kama Dar mpaka Moro tu kunakua na nyomi kubwa hivi la abiria, vipi kuhusu Dar to Dom, Dar to Mwanza je? Vipi Dar to Kigoma? Tanzania to Burundi itakuaje? Tanzania to DRC je? Ni balaa

Kawaida railway business hubreakeven kwa kupitia mizigo freights mostly lakini inaweza Tanzania kuweka historia passengers volume ikafanya project kubreakeven


View: https://youtu.be/nynHfVye0SM?si=2lDiemGsjyhwruBU

ila mbona escalator haitengenezwi? Tatizo nn?
 
Jf wamekaza mqundu lakini twitter wamekubali mziki. Alafu trending topic ni "usenge"
IMG_20240628_222824.jpg
 
Back
Top Bottom