President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,718
- 89,729
Mwendo wakenya wameumaliza. Baada ya miaka 10 Tanzania itaanza kupeleka msaada nchini Kenya.Hawa hata hawajui finance bill ni nini. Wameiskia mara ya kwanza na haya maandamano ya Kenya. Hawa wapo wapo tu kama vifaranga kiotani, kila waletewacho watafungua tu midomo kukibugia. 🤣 🤣 🤣 🤣
![]()