ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Wewe hamna kitu unachojua, unazani wakenya ni wajingaHiyo finance bill ni dawa kwa uchumi wao ulioelemewa na madeni na dawa siku zote ni chungu, huyu Rais wao alishakuta uozo tayari umefanyika na awamu iliyopita tatizo hakuwa mkweli aliwaaminisha wakenya akiingia kila kitu kingekua sawa wakati amerithi a bankrupted nation, wasipopitisha hiyo bill Kunyaland inaenda kuwa kama Zimbabwe in totality
Ni kweli nchi yenu imefkia sehemu mbaya ni lazma hio finance bill ipite ili muungue kisawasawa kunusuru uchumi wenu😅😅😅Wewe hamna kitu unachojua, unazani wakenya ni wajinga
Wameingia kwa wingi!kushangaa sgr yetu!Hivi kuna mtanzania hata mmoja alishaenda Kunyaland kuexperience sgr yao? Lakini angalia hawa halafu watasema watanzania tunawagoogle sana 😁😁😁
Kwani wana akili? Kwanza hizi ni vurugu za kikabila zaidi hata ya uhalisia kama ni gharama za maisha kuwa juu ni toka awamu ya mwisho ya uhuru bado gharama zilikua juu na zimeendelea kuwa juu sababu ya kodi kubwa ambayo lazima ikusanywe ili walipe deni, zaidi ya 60% ya kodi yote inaenda kulipa deni la Taifa, unategemea serikali itaendeshwaje?Wewe hamna kitu unachojua, unazani wakenya ni wajinga
Thank u Al-Jazeera onesha dunia plz😅😅
View: https://x.com/AJEnglish/status/1805609054208761959?t=roYc_rNbRQGuCVbX3ZS8UA&s=19