Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe hujaona mauzo ya chakula nje ya nchi yameongezeka kuliko mwaka jana pamoja na kwamba mmenunua kidogo mwaka huu.
So sisi haituumizi chochote mwenye kuhangaika ni nyie mtafute chakula toka sehemu mbalimbali na pia kama hujui Ruto amepunguza budget ya maendeleo hususan infrastructure na ku prioritize relief food.
Our infrastructure budget is bigger than last year's. So sijui unaongelea infrastructure gani.

Budget ya Kenya's infrastructure this year is half Tanzanian total budget.
 
Our infrastructure budget is bigger than last year's. So sijui unaongelea infrastructure gani.

Budget ya Kenya's infrastructure this year is half Tanzanian total budget.
Kilichoongezeka ni nini hapo mbona mnapenda sifa za kijinga?
 
Our infrastructure budget is bigger than last year's. So sijui unaongelea infrastructure gani.

Budget ya Kenya's infrastructure this year is half Tanzanian total budget.
According to the minister of finance Kenya for every 10 shilling 6 shilling inaenda kwa madeni sasa kwenye budget ya 31bn dollars including loans inabaki 12bn dollars ndio budget ya kuendeshea nchi kweli mishahara, countries, development etc.
Tutafika kweli with this small fiscal space no wonder your government cannot implement anything on its own. Ruto namuonea huruma sana mwache asafori tuu atafute hela.
 
“Reli yetu ya kisasa SGR itakuwa reli ya tano duniani kwa urefu baada tu ya China; km 40,493, Hispania; km 3,917, Japani; km 3,146, Ufaransa; km 2,735 na Tanzania; km 2,080, ikifuatiwa na Ujerumani; km 1,631, Uturuki; km 1,232 na Finland; km 1,120. Na itakuwa reli ndefu kuliko reli zote duniani kwa nchi zinazoendelea.” – Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha.

1718353120976.png
 
Back
Top Bottom