Purching power ya upuuzi, Unaelewa maana ya purchasing power?
Mwenzako hapo juu kuna comment aliandika Tanzania cost of living ipo chini, wewe unakuja kusema purchasing power ya Tz inazidiwa na Kenya, hivi nyie mnajielewa kweli? hamjui hata mnazungumza nini...
Nchi yenye purchasing power kubwa gharama ya maisha huwa inakuwa chini..
Hii ni economics ya wapi kaka.., umekurupuka kimandazi sana, ebu rudia, eti "nchi yenye what?........."
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 nchi zile fukara fukara kama Tanzania, malawi, Uganda n.k, ndio ziko na maisha ya chini sana kwa mtazamo wa mtu anaye tokea kwenye nchi ya uchumi kubwa, yeye anaona maisha yako chini sana!.., kwa mfano a studio apartment, yaani bedsitter in New York is around $1,500 na zaidi kwa mwezi(Tsh. 3,900,000, Kshs.195,000), akija Kenya ama Tanzania ataona ni kama bei ya nyumba ni almost free..., na wako na purchasing power kubwa ndio maana bidhaa pia inapanda bei.., demand iko juu, so lazima price iwe juu, lakini fukara kama Tanzania,yenye mafukara wengi, purchasing power iko down, so lazima bei ziwe chini sana, ndio kila mtu amudu maisha, yaani bidhaa na services ni cheap sana kwa mgeni anaetokea taifa lenye uchumikubwa with bigger purchasing power, mko hovyo!!!!!