Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Kama hujui kitu sema ufunzwe Malaya hii. Purchasing power of an individual is different with a purchasing power of a currency.Purching power ya upuuzi, Unaelewa maana ya purchasing power?
Mwenzako hapo juu kuna comment aliandika Tanzania cost of living ipo chini, wewe unakuja kusema purchasing power ya Tz inazidiwa na Kenya, hivi nyie mnajielewa kweli? hamjui hata mnazungumza nini...
Nchi yenye purchasing power kubwa gharama ya maisha huwa inakuwa chini..
Purchasing power of an individual is also known as consumer spending power.