Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maza ni serial failure tangu shule ya msingi to Secondary ni mtu wa F. Anafeli kila kona kila kukicha. Anateua mpaka maiti!
Me nasema kila siku kuwa na Rais kama huyu anayezungukwa na kundi kubwa la MACHAWA ni hasara kwa taifa tena.........alipaswa kuwa mbunge viti maalum na sio Rais wa nchi

Tujiandae kumchagua LISSU
 
Aki na mimi nitaenda kuwa politician Kenya ghai!
 
Miaka yote Kenya wamekuwa waumuni wa bajeti kubwa hata kama haitekelezeki mipango inabakia kwenye makaratasi tuu. Bora Tanzania tuliliona hilo mapema tuka tone down budgetary expansion commensurate na income yetu kila mwaka tunafanya marginal budget expansion thereby achieving a good fiscal consolidation which is healthy economically.
 
Miaka yote Kenya wamekuwa waumuni wa bajeti kubwa hata kama haitekelezeki mipango inabakia kwenye makaratasi tuu. Bora Tanzania tuliliona hilo mapema tuka tone down budgetary expansion commensurate na income yetu kila mwaka tunafanya marginal budget expansion thereby achieving a good fiscal consolidation which is healthy economically.
Kunyaland Watatembeza bakuli Kama Kawa!
 
Miaka yote Kenya wamekuwa waumuni wa bajeti kubwa hata kama haitekelezeki mipango inabakia kwenye makaratasi tuu. Bora Tanzania tuliliona hilo mapema tuka tone down budgetary expansion commensurate na income yetu kila mwaka tunafanya marginal budget expansion thereby achieving a good fiscal consolidation which is healthy economically.

Kwa namna wameipandisha GDP yao juu ni lazima pia wapandishe makusanyo juu... Uongo wa kwanza unafunikwa na uwongo wa pili..

Hiyo kitu itaendelea kuwatesa sana, hadi watakapo amua kuishi kwenye uhalisia na ukweli. Na siku hiyo ndio rasmi itatangazwa kunyaland ni Nchi muflisi... Kama kwa fake GDP tayari wamevuka ukomo wa ukopaji... Wakijishusha kwenye uhalisia kitatokea nini?
 
Aki na mimi nitaenda kuwa politician Kenya ghai!
Kuna kunyan wananunua ardhi TZ,hasa wa mombasa,wanadai ile sheria ya kumiliki ardhi kama si m TZ haina nguvu,wangejua kama wanatapeliwa wangelia aisee
 
Back
Top Bottom