Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Talanta Stadium imebuniwa na Mkenya. Ngoja uone hiyo Samia Stadium yao kama itajengwa utapata Architect ni foreigner, Engineer ni foreigner alafu kila siku wanasema elimu yao iko juu.
😆😆Talanta imebuniwa na mkenya sawa, mchina akatoa fedha yote sasa mnajivunia nini, sisi tunajenga chetu kwa fedha yetu
 
Itawachukua miaka 100 wakenya kufikia hapa 🤣 🤣 🤣

1717408681082.png


1717408717591.png


1717408756933.png
 
1717409637094.png

Alafu mtasikia walijenga wenyewe kwa hela zao.. This is BENJAMIN MKAPA STADIUM' Kuna hela ya mchina hapo penye nimeunderline
 
Hakuna ushahidi wowote kwamba mkunya alibuni chochote huku Tanzania, lkn hata kama ingekuwa ni kweli shida iko wapi? Kubuni sio kujenga, haihitaji elimu yoyote kubuni jengo, sisi huku mafundi wengi wanabuni majengo makali na hawajaenda shule, kama kweli mkenya alibuni hilo jengo ni mambo ya 10% lkn wabunifu na mafundi ni wengi mno, no wonder wakenya wameona wachukue mafundi kutoka Tanzania kujenga nyumba zenu huko nowadays.
Eti wakenya wanachukua mafundi kutoka Tanzania?😂😂😂😂

Do you have any proof?
 
Eti wakenya wanachukua mafundi kutoka Tanzania?😂😂😂😂

Do you have any proof?
Fundi ni mfanyakazi wa hali ya chini sana. Kawaida wao wakija huku wanafanya kazi za hadgi ya chini. Sisi tunawapelekea architects na engineers wao kitu wanachoweza kujisifu nacho ni masons, housegirls, ombaomba na kuuza mitumba.
 
Fundi ni mfanyakazi wa hali ya chini sana. Kawaida wao wakija huku wanafanya kazi za hadgi ya chini. Sisi tunawapelekea architects na engineers wao kitu wanachoweza kujisifu nacho ni masons, housegirls, ombaomba na kuuza mitumba.
Endeeleeni na definition. WatanZania wanachapa kazi 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇
Wakenya wanasubiri Muujiza wa Mwamposa

1717413645515.png
 
Back
Top Bottom