Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamji kua na density ya dar miaka 100 mbele,kukaa kupiga kelele za upperhill na westland vimiji vilivyojaa vichaka tu...
deepdown our density is untouchables
tofauti ya Dar ni kuwa mnaishi pal kwa city centre nguruwe, pamoja na watu, mama mboga, wauza samaki na kadhalika...Nairobi city centre haina mijengo za watu kuishi...kwa hivyo nikileta buruburu hapo karibu na KICC inakuwa kubwa kuliko Dar...
 
Nataka picha Moja tu yakufunika hii Posta haijawahi kua size yenu Milele

e6c1534d4c169bfb266f6d3652501819.jpg
 
watu wa ofisi wanafanya kazi pamoja na wauza samaki pale city centre...Dar ni mji uliochanganyikiwa sana
 
tofauti ya Dar ni kuwa mnaishi pal kwa city centre nguruwe, pamoja na watu, mama mboga, wauza samaki na kadhalika...Nairobi city centre haina mijengo za watu kuishi...kwa hivyo nikileta buruburu hapo karibu na KICC inakuwa kubwa kuliko Dar...
Buruburu ndio ujinga gani...
Dar Ni kubwa Miaka yote na Mtaelewa taratibu. ..dose inaingia mdogomdogo
 
Dar ukishatoka kazini pale tpa unatembea tu mpaka kwako hapo Kariakoo...😀😀😀alafu wanaita density...kumbe wamechukua estate kama buruburu, githurai wakaweka karibu na city centre...kisha walia lia eti density...
 
Dar ukishatoka kazini pale tpa unatembea tu mpaka kwako hapo Kariakoo...😀😀😀alafu wanaita density...kumbe wamechukua estate kama buruburu, githurai wakaweka karibu na city centre...kisha walia lia eti density...
Povu haikuachi salama always😀😀😀😀
 
Buruburu ndio ujinga gani...
Dar Ni kubwa Miaka yote na Mtaelewa taratibu. ..dose inaingia mdogomdogo
asante kwa hasira nugu....😀😀😀 ukweli ni kuwa hio density hapo Dar ni kwasababu ya estates...yaani estates ziko tu karibu na city centre...Pwahahahaha😀😀😀😀 nikileta buruburu hapo KICC haina tofauti na hio Dar mnalia lia density density😀😀
 
Dar ni kubwa Mara mbili ya Nairobi..kuna maeneo mengi sanaaa mazuri hatuwez kutembelea kote and bad thing ni kwamba watu huku sio washamba Wa kupigapiga picha ovyo.. Mfano hapa hakuna picha za kinyelezi karibia na mtambo Wa kuzalisha umeme kuna jiji moja hatari sana pale, kigamboni ndo usiseme izo projects za nyumba sio poa, mbezi beach, oysterbay, masaki, mikocheni, kawee na kwingn kwingii.. Hapa wanaonyesha tu baadhi ya vipande pande vya posta, k/koo, na sehemu nyingn baadhi.. Siku ukija ukatembea mwenyewe ndo utashangaa
lol.....Nairobi is a metropolis covering 10000km sq.....dar mpelekane na Mombasa pliz
 
asante kwa hasira nugu....😀😀😀 ukweli ni kuwa hio density hapo Dar ni kwasababu ya estates...yaani estates ziko tu karibu na city centre...Pwahahahaha😀😀😀😀 nikileta buruburu hapo KICC haina tofauti na hio Dar mnalia lia density density😀😀
Hongkong density opps sorry bro dar es salaam
IMG_1366.jpg
 
watakuimbia eti density density kumbe 90% ya mijengo hapo city centre ni nymba za kukodisha watu...😀😀😀asilimia kumi iliobaki ni ofisi na hoteli😀😀😀 unatoka kwako Kariakoo baada ya dakika kumi uko TPA😀😀😀
 
Back
Top Bottom