COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Kariakoo jooh...imerust vinoma kwani ilichomwa world war two?Leo nyongo imekushika😀😀😀😀
Kariakoo jooh...imerust vinoma kwani ilichomwa world war two?Leo nyongo imekushika😀😀😀😀
Mambo ni magumu sana, ila ndiyo faida ya kuwa na kaka mkubwa kama Tanzania, tutawasaidia ninyi ni wadogo zetu.Promoting our bloggers is good they need more traffic on google

Ziko wapi maana yake wapi wanajenga au kama huna endelea kupost renders😀😀😀😀 safari hii hakuna kudanganya mtuangalia nimesema mwaka upi? kisha nikuulize tuko mwaka upi?😀😀😛😛
Uko na google ..ukitaka kuonyeshwa vitu msho bibiyako akuonyeshe ikusNioneshe wapi munajenga au expansion of 20 million passengers usizuge leo nazaa na wewe😀😀😀😀
Brathe kariakoo inakaa kabulwanatoa povu la hasira.![]()
![]()
![]()
Huhu dar ya 2017 imewakamata kwenye makende😀😀Kariakoo jooh...imerust vinoma kwani ilichomwa world war two?
Nioneshe wapi wanajenga au wanafanya expansion usituletee hadithi za abunwasi hakuna under 15 hapa😀😀😀Uko na google ..ukitaka kuonyeshwa vitu msho bibiyako akuonyeshe ikus
Hapa kuna nini???? Seriously????????Huhu dar ya 2017 imewakamata kwenye makende😀😀
Ongea na bibi akushow ikusNioneshe wapi wanajenga au wanafanya expansion usituletee hadithi za abunwasi hakuna under 15 hapa😀😀😀
Kariakoo ndio wanajivunia😀😀😀
Kila mtu anajua the two-government owned towers city
Sasa dar kuna nini??????????...mnajiabisha tu..hii ni dar yote nini iko hap¿???????Yani kuwaambia ukweli kabisa wakenya kinacho wasaidia mnapicha nyingi lakini nairobi hamna kitu cha ajabu. Laiti tungekuwa tunapiga picha nyingi kama nyie mngeshakimbia hapa. Sema tuna vitu vingi vya msingi vya kufanya.
Mm sitaki povu wala hasira nataka kuona ujenzi wa hio target, unafkiri 20million mchezo 😀😀😀 kama kula makandeOngea na bibi akushow ikus
Hapo haijaguswa kariakoo, haijaguswa upanga, haijaguswa ilala, haijaguswa magomeni haijaguswa kijitonyama etc hata masaki na otesterbay haipo hapoSasa dar kuna nini??????????...mnajiabisha tu..hii ni dar yote nini iko hap¿???????![]()
Hamji kua na density ya dar miaka 100 mbele,kukaa kupiga kelele za upperhill na westland vimiji vilivyojaa vichaka tu...Sasa dar kuna nini??????????...mnajiabisha tu..hii ni dar yote nini iko hap¿???????![]()
Shuka chini usichukue picha iliyopigwa juu sana, shuka chini upate clear view ukutane na modern and biggest city in east and central AfricaSasa dar kuna nini??????????...mnajiabisha tu..hii ni dar yote nini iko hap¿???????![]()
narudia tena...dar fananisha na Mombasa...Nairobi haiko level yenu..😀😀😀Nishakukatazaga kutumia tumbo kufikiria.. Nairobi natembea masaa 2 naimaliza yote,, Dar nakupa wiki ukiimaliza Nahamia Libya
Sasa dar kuna nini??????????...mnajiabisha tu..hii ni dar yote nini iko hap¿???????![]()
Unaeza google acha kutubeba wanaaa....ukitaka kuonyeshwa show bibi akushow haga ama ikusMm sitaki povu wala hasira nataka kuona ujenzi wa hio target, unafkiri 20million mchezo 😀😀😀 kama kula makande