Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

shule za Mfano zinatakiwa ziwe za Ghorofa kama Zanzibar! Hakuna kujitetea yale aliyokuwa anafanya Maghufulu kwake ndo anafanya mama kule Zanzibar huku tunaletewa shule za treni! Vijijini huko Uchagani hujenga shule bora za ghorofa kuliko hizo! Sasa sembuse GoT? Hapo hakuna utashi!
Hii ni Mpya.Kwmba akifanya Mwinyi kule Zanzibar inakuwa ni Samia anafanya 😁😁😁😁

Pili Zanzibar eneo ni Ginyu sana kujenga shule horizontally lazima waende vertical.

Ndio maana Kwa Tanznaia Majiji ya Dar,Mwanza,Arusha na Tunduma ndio wanajenga zaidi shule za magorofa Kwa sababu eneo ni finyu..πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/C6tHe5OCK2C/?igsh=cThkYTRpcG1rOWZh
 
Hii ni Mpya.Kwmba akifanya Mwinyi kule Zanzibar inakuwa ni Samia anafanya 😁😁😁😁

Pili Zanzibar eneo ni Ginyu sana kujenga shule horizontally lazima waende vertical.

Ndio maana Kwa Tanznaia Majiji ya Dar,Mwanza,Arusha na Tunduma ndio wanajenga zaidi shule za magorofa Kwa sababu eneo ni finyu..πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/C6tHe5OCK2C/?igsh=cThkYTRpcG1rOWZh

hela za uviko zimejenga shule za Zanzibar pia bara ilipaswa zijenge! Hata Dar kuna hiyo mitreni ya ajabu!
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
View attachment 2989148
That one is a sick man.🀣🀣🀣

Screenshot_20240513-125345.png
 
mambo ya private unaleta huku vp wewe? mambo ya kimbochi hayo!
There's nothing private about a single idiot texting all Kenyans insults here 6 times a day, not being responded to and still continuing. We will expose such idiocy so that even you Bongolalas can know your brother is a fool even if you won't admit it.
 
There's nothing private about a single idiot texting all Kenyans insults here 6 times a day, not being responded to and still continuing. We will expose such idiocy so that even you Bongolalas can know your brother is a fool even if you won't admit it.
Sasa tuwasaidie vp humu ndani Wakunya?
 
There's nothing private about a single idiot texting all Kenyans insults here 6 times a day, not being responded to and still continuing. We will expose such idiocy so that even you Bongolalas can know your brother is a fool even if you won't admit it.
Sasa mzee nakuuliza kuhusu kubaka mbuzi hutaki kunijibu kwanini?
 
Kwahiyo nilokuletea yale sio magorofa bali mahema!?
Kwahiyo cluster ndio sababu ya magorofa kuanguka Kenya!?
Isingekua cluster ingekua moja moja kama zetu magorofa Kenya yasingeanguka!?
Nitolee usenge wako hapa.
Mitanganyika yakishakosa majibu yanashikwa na hamaki hivi na kuanza kurusha matusi. Mkubali tu hamna maghorofa ukitoa Posta, Kariakoo na upanga
 
Mitanganyika yakishakosa majibu yanashikwa na hamaki hivi na kuanza kurusha matusi. Mkubali tu hamna maghorofa ukitoa Posta, Kariakoo na upanga
Same person Account more than 10. You are an insecure person. Wakenya mnaiogopa sana Tanzania.
 
hela za uviko zimejenga shule za Zanzibar pia bara ilipaswa zijenge! Hata Dar kuna hiyo mitreni ya ajabu!
Kwani Bara pesa haijajenga hizo shule,Vituo vya Afya,vifaa tiba,maji,masoko nk?

Hoja ni go vertically au horizontally.Ndio nakwambia Except Miji niliyoitaja kwingine kote majengo ya shule ni ya chini na mazuri kama haya πŸ‘‡
-1943699279.jpg
-1777389216.jpg
-922811847.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom