Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,952
- 81,232
Hakuna shule kama hizi kabla ya Samia,ukiacha shule za mkoloni ππ
View: https://www.instagram.com/p/C47StRsMpQK/?igsh=MTVnOTVrZjNqbXN0eg==
shule za Mfano zinatakiwa ziwe za Ghorofa kama Zanzibar! Hakuna kujitetea yale aliyokuwa anafanya Maghufulu kwake ndo anafanya mama kule Zanzibar huku tunaletewa shule za treni! Vijijini huko Uchagani hujenga shule bora za ghorofa kuliko hizo! Sasa sembuse GoT? Hapo hakuna utashi!