Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nchi kama Tanzania haiwezi kubishana na Kenya, tunawazidi katika almost kila kitu, tuna miradi ina thamani kubwa kuliko miradi yote inayofanyika East and central Africa, sina haja ya kubishana na wewe.
Of course mnatuzidi Kwa kila kitu, hata kwa umasikini uliopitiliza
 
Kibundani ( shika adabu) interchange likoni, Leo nimeshuhudia mwenyewe kazi iko safi kabisa barabara nyweee lakini bado haijafunguliwa.
20230601_090248.jpg
20230601_090244.jpg
20230601_090243.jpg
 
Unaongea nini we MSENGE!?
Ni nini maana ya ghorofa!?
Soma hiyo hapo maana ya ghorofa.
Halafu unambie zile nilizokutumia sio ghorofa!?
Embu kuwa mtu mzima kidogo.
Bado hujanipa jibu kwanini ghorofa zenu huanguka hovyo!?View attachment 2989559
Leta picha ya dense cluster ya magorofa za dar slum. Hio picha ulioleta ninaipinga kwa sababu sio cluster. Naongelea cluster sio floors Wala height C-L-U-S-T-E-R
 
Kwani dodoma huitaki au?? Ww Kwanza nioneshe majengo ya Askari wa zima Moto hapo Nairobi tucheke vzr 🤣🤣🤣🤣🤣
How many fire stations do you have in Tanzania? Hiyo ya Dodoma ndio ya kwanza ama?
 
Leta picha ya dense cluster ya magorofa za dar slum. Hio picha ulioleta ninaipinga kwa sababu sio cluster. Naongelea cluster sio floors Wala height C-L-U-S-T-E-R
Ulitaka maghorofa usilete visingizio vingine.
Nimekuoneshea maghorofa.
Wacheni visingizio vya kifala.
Nijibuni swali langu,KWANINI KENYA MAJENGO HUANGUKA HOVYO!?
 
Duuhh matakataka kama yote aisee, hii sijaiona Dar hakiyakiyamama Nairobi chafu.
Ajabu hiyo hali kwa wakunya ni kawaida,mkuu imagine uchafu na maslum kama yale lakini hawa viumbe bado wanakuja hapa kujimwambify,hali kama ile ingekua ni TZ na uhakika tungejificha humu but hawa mazezeta wa north still wanajisifu,humu tunabishana na matahira hawa viumbe hawapo sawa on their heads
 
Ulitaka maghorofa usilete visingizio vingine.
Nimekuoneshea maghorofa.
Wacheni visingizio vya kifala.
Nijibuni swali langu,KWANINI KENYA MAJENGO HUANGUKA HOVYO!?

Leta aerial picture ya mitaa kadha wa kadha tuone cluster katika hizo sehemu ndio tuamini kwamba dar slum kuna ghorofa. Otherwise naweza pia Mimi nikakupa picha za ghorofa kibera slum na niseme kibera kuna maghorofa kibao😅😅😅
 
Yaani nikisikia mkenya analinganisha SGR yao na yetu natamani nimchape...

Yaani hakuna kitu kizuri kwenye Reli yao... Yaani Jamaa walidhanigi kuitenga Tanzania Ndio watapata kitu kizuri
Mimi huwa wakiongea upuuzi kupinga vitu ambavyo viko wazi wala siwapi milage nspotezea tuu maana najua napoteza muda wangu lengo la forum ni kujadili vitu na kuelimishama sio ku peddle uongo kama eti SGR ya Kenya iko faster than ya Tanzania wakati wote tunajua facts za hizi reli mbili ni kupotezeana muda tuu hatupaswi kuwajibu watu wa aina hii.
 
Back
Top Bottom