Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,769
- 22,475
Majalala kama hayo yamezunguka kenya yote,halafu mnavyojidai sasa while ni takataka nchi yenu yoteGorofa refu (30+floors) kama hii ziko saba pekee Tanzania mzima.
Majalala kama hayo yamezunguka kenya yote,halafu mnavyojidai sasa while ni takataka nchi yenu yoteGorofa refu (30+floors) kama hii ziko saba pekee Tanzania mzima.
Why are you showing mid-rise instead of highrise?Hapa picha ya kwanza Temeke Chang'ombe na picha ya pili makazi ya Somangila Kigamboni Muongozo dege.
Na huko mvua hunyeesha na mafuriko hutokea ila husikii ghorofa likianguka.View attachment 2989161View attachment 2989162
Should I remind you that Kenya is twice wealthier than Tanzania?Majalala kama hayo yamezunguka kenya yote,halafu mnavyojidai sasa while ni takataka nchi yenu yote
Huyu ni kama amekosa watu wa kuchatisha😂😂😂
Kenyan trains are faster than Tanzanian trains. Najua hupendi kuskia that fact😂😂Kwanza leta ushahidi treni ya Kenya ilishawah fika 200km/HR elewa Neno ushahidi ambayo speed meter ilifika 200
La pili 470km inatumia Saa sita haya hebu tuambie hua munatumia mahesabu gani??? Yani ni very very simple wala haitaji kutumia ramli🤣🤣🤣
Tangu lini Kibera ikawa kama Europe?😎...Should I remind you that Kenya is like Europe to Tanzanians?
Hapo ndio elimu inapoonekana iko vise versa,unafananishaje nchi maskini kama hii eti ni kama ulaya 😂,nyie watu maskini wa huku kwenye third world countries eti mnajifananisha na ulaya!Should I remind you that Kenya is twice wealthier than Tanzania?
Should I remind you that Kenya is like Europe to Tanzanians?
Hawa watu akili hawana,unajua humu tunabishana na matahira 😂Tangu lini Kibera ikawa kama Europe?😎
Go ask your President. She is the one who recently said that Nairobi is like London to Tanzanians, even Nyerere said it before his death. Most of Tanzanian leaders are treated in Kenya and most of your celebs are fighting tooth and nail to come to Kenya.Tangu lini Kibera ikawa kama Europe?😎
Fact ya nnya labdaKenyan trains are faster than Tanzanian trains. Najua hupendi kuskia that fact😂😂
Is this a cluster? When it comes to tall buildings, we beat you hands down. Kama unapinga njoo kwenye battle. I will handle you single-handedlyView attachment 2989473
Hii ghorofa ipo huko ulipopataja?
Eti nipo hapa 24/7?😂😂Yani 24/7 upo JF huoni kuwa ni ushamba? Mpo na Kunyatalk.com lakini mnatukanana tu. What wrong with you?
Chukua calculator upige hesabu kwann 470km inatumia 6 good hours alaf niletee majibu SASA hvi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kenyan trains are faster than Tanzanian trains. Najua hupendi kuskia that fact😂😂
Every country have such kind of life. The rich, the poor and the middle, in Kenya that graph is normal with the rich and the poor at the bottom of the y-axis and the middle being at the highest side of the y-axis.Hapo ndio elimu inapoonekana iko vise versa,unafananishaje nchi maskini kama hii eti ni kama ulaya 😂,nyie watu maskini wa huku kwenye third world countries eti mnajifananisha na ulaya!
Today’s facts.Fact ya nnya labda
Nyumba mpya za Askari wa zima Moto pamoja magari Aina ya MAN ya zina Moto
Dodoma 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
View attachment 2989516View attachment 2989518
View: https://www.instagram.com/p/C65qrlGNbBy/?igsh=Yjg2MXI2MmJlZmcy
Yule amebakiza miezi agonge sitiniHuyo Gezaulole inawezekana wewe ni mkubwa kuliko yeye, sema anakausha tu.
Ni uongo that your trains have a maximum speed of 180km/h?Chukua calculator upige hesabu kwann 470km inatumia 6 good hours alaf niletee majibu SASA hvi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Simple and clear wala haitaji ramli
Sawa bongolala, ila Sina wajukuuWewe ni mzee kuliko Gezaulole.