Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza leta ushahidi treni ya Kenya ilishawah fika 200km/HR elewa Neno ushahidi ambayo speed meter ilifika 200

La pili 470km inatumia Saa sita haya hebu tuambie hua munatumia mahesabu gani??? Yani ni very very simple wala haitaji kutumia ramli🤣🤣🤣
Kenyan trains are faster than Tanzanian trains. Najua hupendi kuskia that fact😂😂
 
Should I remind you that Kenya is twice wealthier than Tanzania?
Should I remind you that Kenya is like Europe to Tanzanians?
Hapo ndio elimu inapoonekana iko vise versa,unafananishaje nchi maskini kama hii eti ni kama ulaya 😂,nyie watu maskini wa huku kwenye third world countries eti mnajifananisha na ulaya!
 

Attachments

  • 20240512_210155.jpg
    20240512_210155.jpg
    414 KB · Views: 4
Tangu lini Kibera ikawa kama Europe?😎
Go ask your President. She is the one who recently said that Nairobi is like London to Tanzanians, even Nyerere said it before his death. Most of Tanzanian leaders are treated in Kenya and most of your celebs are fighting tooth and nail to come to Kenya.
 
Kenyan trains are faster than Tanzanian trains. Najua hupendi kuskia that fact😂😂
Chukua calculator upige hesabu kwann 470km inatumia 6 good hours alaf niletee majibu SASA hvi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Simple and clear wala haitaji ramli
 
Hapo ndio elimu inapoonekana iko vise versa,unafananishaje nchi maskini kama hii eti ni kama ulaya 😂,nyie watu maskini wa huku kwenye third world countries eti mnajifananisha na ulaya!
Every country have such kind of life. The rich, the poor and the middle, in Kenya that graph is normal with the rich and the poor at the bottom of the y-axis and the middle being at the highest side of the y-axis.

In Tanzanian case it’s also normal but in a vice versa situation. The poor are the ones on the highest point of the graph (y-axis) with the rich and middle classes being at the bottom of y-axis.
 
Chukua calculator upige hesabu kwann 470km inatumia 6 good hours alaf niletee majibu SASA hvi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Simple and clear wala haitaji ramli
Ni uongo that your trains have a maximum speed of 180km/h?
Ni uongo that Kenyan trains have a maximum speed of 200km/h with others capable of doing up to 330km/h?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom