joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Mnasingizia uchaguzi wakati njaa, umasikini, slums, corruption naninsecurity ambavyo ndiyo adui mkubwa wa maendeleo vimekuwepo tangu uhuru wa Kenyasasa maendeleo kenya ina boom kwanza elections zimeisha iyo ndio ilikua hofu sijui mtatoroka wapi pinnacle,montave,avic,cythoon zikisimama zote by 2020..kwanza avic next year ni done