COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
kenya inacollect tax mara mbili au tatu yenu...tuko na inerchange nakuru,kisumu,mombasa,kericho ata dar ndio mnajenga ya kwanzaSisi serikali inajenga kwa niaba ya wananchi, pesa itakayopatikana kutoka kwenye rent inaenda kuimarisha barabara na Hospital, ninyi pesa zinaingia mifukoni mwa matajiri, mliobaki mnaenda kulala katika slums
