Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
.Dar is slum ya sasa ni aibu tupu,si kinyesi si,ufuska,si ushoga,si ombaomba kutoka humo kuja Nairobi, na eti mwataka kujilinganisha na Nairobi? Mna miundo mbinu IPI,je,bypass za iyo slum yenu ya dar ni ngapi?Na hats super highways mnazo kweli?ka mnazo ni ngapi?Na je,dar iko hats na interchange kweli,ama ni huu upuzi wa flyover mbazoshabikia,huku Kenya zikiwa zimejaa chungu nzima,International airport yenu ni ya kiwango kipi,ama ni uchwara mnaolete hapa,Multinationals ngapi kwenye mji huo tupwa tupwa,na hata mnajenga supertall skyscrapers kweli?Au ni safari ya lelemama?Vyuo vikuu ni vingapi kwenye mji wenu kinyesi tupwa tupwa? Acheni vita na ndovu,vita vya kunya,msije kupasuka msamba
Before anything, find a solution to Kenyan slum's 'flying toilets'.