Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Soon izo zitakuazilipendwa hii battle iendelee kudumu tu utakua shuhuda mzuri kwa wengine
sasa maendeleo kenya ina boom kwanza elections zimeisha iyo ndio ilikua hofu sijui mtatoroka wapi pinnacle,montave,avic,cythoon zikisimama zote by 2020..kwanza avic next year ni done
 
wewe subiri 2020 uje upande na uione kwa mara ya kwanza electrical, modern, fast bullet train, hujawahi kuiona maishani mwako, labda kwenye youtube
Do you know what a bullet train is? Ubaya wenu nyinyi Danganyikans ni kwamba mna toa hoja bila kuwa na uelewa wa mambo na vitu mnazosema. Nyinyi bora tu mmeongea. Hata pale Europe, bullet trains are found in just a handful of cities even though almost all European countries have electric trains.Don't confuse electric train with bullet train.
 
Ona huyu asiyejua hata kutumia maneno sawasawa.
Alichokuambia ni kweli. Hapa kenya hatungoji serikali itujengee TPA na PSPF. Tunajenga miji zetu sisi wenyewe huku serikali ikijenga barabara and such like things. Nashangaa sana kusikia kwamba Dar almost all the major buildings are government-owned. Ajabu sana!
 
dodoma ni aibu kwa nchi yenu...lagos ilichange capital city na wakaidevelop nyinyi mkaiacha inakaa iimeshikwa na kutu
kwetu sisi kila jambo huenda kwa wakati, nigeria ni nigeria na tanzania ni tanzania sasa usitulazmishe tumuige mtu kwasababu yeye kafanya, na nakupa taarifa hakuna mkoa unajengwa kwa kasi tanzania kama dodoma
 
haha ni macho yako ina shida

Alichokuambia ni kweli. Hapa kenya hatungoji serikali itujengee TPA na PSPF. Tunajenga miji zetu sisi wenyewe huku serikali ikijenga barabara and such like things. Nashangaa sana kusikia kwamba Dar almost all the major buildings are government-owned. Ajabu sana!
.
Acheni kujitia umajununi wakati hamna ndala miguuni, mwenzenu anasema Kenya inatumia 'developer' wakati sisi tunatumia 'government' sasa hamuoni kunatatizo la uelewa hapo?
 
mafala ata wakua wanaijua wameenda kuigoogle..ata race course ka ya ngong hawajui ni nini
Sisi tunachojua ni slums, njaa, insecurity, unemployment, and tribalism, kwasababu hivyo ndivyo vitu mihimu kwa mwananchi, sasa hizo races, tunnels zinasaidia nini?
 
Back
Top Bottom