Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yeah inaweza kuwemo kwenye agendas pia sababu alisema kuna companies nyingi zimeonesha interests kujenga SGR kwa PPP kutoka Uvinza mpaka DRC na vipande vingine hasa cha southern corridor ila tazara nayo imefanyiwa feasibility study na detail designs na preliminary analysis zote za ujenzi kuanza ilibaki tu wakubwa wakutane kazi ianze.
TAZARA ikipigwa Electric SGR tutakuwa tumekamata kona zote.
ZAMBIA, MALAWI, SOUTH CONGO na ZIMBABWE zitakuwa kwenye mikono salama.

Kinabaki kipande kidogo tu cha kuiunganisha Angola

1715507999237.png
 
Masinde Muliro Stadium in Bungoma County progress.


Things that watanzania hawapendi kuona😂😂😂
Image



Image


Image
 

Burundi na Tanzania Zasaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano Kwenye Sekta ya Madini​

Mawaziri wa Sekta ya Madini wa Burundi Mh. Eng. Ibrahim Uwizeye na Tanzania Mh. Anthony Mavunde leo wamesaini hati ya makubaliano ya kushirikiana kwenye sekta ya madini ili kukuza mchango wa sekta hii katika uchumi wa nchi mbili hizi.

Hafla ya kusaini makubaliano hayo imefanyika leo Jijini Bujumbura,Burundi na kuhudhuriwa na watalaamu wa nchi zote mbili.

Maeneo ya Ushirikiano yanajumuisha;

  • Ujenzi wa Viwanda vya Uchenjuaji na Usafishaji wa Madini.
  • ⁠Kubadilishana Uzoefu na utaalamu katika utafiti wa kina wa madini.

- ⁠Kuongeza thamani ya madini kwa kuzalisha bidhaa zitokanazo na madini.

- ⁠Kujenga uwezo wa kitaasisi na wataalamu wa pande zote mbili.

- ⁠Kusimamia sheria na taratibu za biashara ya madini inayohusisha pande zote mbili.

Akitoa maelezo ya awali Waziri wa Maji,Nishati na Madini wa Jamhuri ya Burundi Mh. Eng. Ibrahim Uwizeye amesema nchi ya Burundi
na Tanzania zimekuwa na urafiki wa muda mrefu na mahusiano mazuri,hivyo ni muhimu kutumia fursa hii kushirikiana kwenye sekta ya madini ili sekta hii itoe mchango unaostahili katika kukuza maendeleo ya Uchumi wa Burundi na Tanzania chini ya uongozi imara wa marais Mh. Evariste Ndayishimiye(Burundi) na Mh. Dkt. Samia S. Hassan (Tanzania)

Akizungumza katika hafla hiyo ,Waziri wa Madini wa Tanzania Mh. Anthony Mavunde amesema Tanzania ipo tayari kushirikiana na Burundi katika kuiimairisha na kuiboresha sekta ya madini ya nchi hizi mbili kwa kusimamia utekelezaji wa makubaliano ya ushirikiano yaliyofikiwa na kutumia fursa hii kuwaalika wachimbaji wa nickel,cobalt na copper kutumia huduma ya Kiwanda cha Usafishaji madini ambacho kitajengwa katika eneo la ulipokuwa Mgodi wa Buzwagi,Wilayani Kahama-Shinyanga.
 
SOON, Lamu port will be the biggest port in East and Central Africa overthrowing Mombasa
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
View attachment 2988697
SOON, Lamu port will be the biggest port in East and Central Africa overthrowing Mombasa
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
View attachment 2988697
Soon when na ilikua idle 3 good years 🤣🤣
 
Back
Top Bottom