Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Endelea kupiga kelele.

1715447156908.jpeg
 
File ya hewa ama? Taifa gas is non existence😂😂
Okay endelea kuamini hivyo upate faraja ya moyo.

1000016069.jpg


Unless serikali yenu ipo na kazi ya kufungua hewa na your state emblem ni useless mpaka kufungua miradi isiyopo.
 
Bora twende tu hata kwa mchina maana ulaya siku hizi wana ufala mwingi sana.

Inanikumbusha movie ya "The Aviator"

Maana nowadays Boeing inatoa mafamba ile MAX walimaliza Tatizo?
Tatizo lipo kwenye falsafa ya kampuni. Baada ya Boeing kuungana na MC Donnell, waliacha kutengeneza kwa ubora, walianza kupiga madenge ili kuongeza faida. Matokeo yake ndege zikaanza matatizo. Whistleblower wanaojitokeza wanauwawa, mpaka sasa wawili wameshaenda. Hili tatiizo ni la miaka mingi na Al jazeera walisharusha kipindi chake miaka 9 iliyopita.


View: https://www.youtube.com/watch?v=rvkEpstd9os
 
Back
Top Bottom